Asante kwa kufikisha salamu zangu kwake,
Hukumwambia kuwa hela ya kununulia nilimuibia anko wangu? Je, hana tatizo nikiiba tena hela za anko wangu nikamnunulia?
Muulize tu kwa nia njema maana kama anakubaliana na hilo, mimi siku mjomba akinipa hela nipeleke kwa side chick(sio main chick wimbo unaopendwa na aunty yangu wewe na Tetramelyz anasema sauti ya Maua na sura ni tofauti😀) basi nifanye mchakato, nifikishe nusu , nusu nimnunulie simu
Kama nakuona
My love TumosaObe ktk ubora wake
Niambie shemela wanguKama nakuona
Haijafunguka obe
Binamu hapo kwenye hizo mambo za side chick ndio umeharibu na mambo ya kupewa hela upeleke huko umeharibu salaam sipeleki mama mchuchu akija utamwambiq
NdioKwahiyo na wewe hujaona
...labda umejiunga na kifurushi cha chuo?
maana hivyo vifurushi vinadownload notisi tu na mapafulekiti
...labda umejiunga na kifurushi cha chuo?
maana hivyo vifurushi vinadownload notisi tu na mapafulekiti
Safi shemela za weweNiambie shemela wangu
Hivi ulifungua pm?Kwahiyo na wewe hujaona
Pm haitatokea nifungueHivi ulifungua pm?
Hahaha, Obbe kwanini unapenda muziki saana??Asante kwa kufikisha salamu zangu kwake,
Hukumwambia kuwa hela ya kununulia nilimuibia anko wangu? Je, hana tatizo nikiiba tena hela za anko wangu nikamnunulia?
Muulize tu kwa nia njema maana kama anakubaliana na hilo, mimi siku mjomba akinipa hela nipeleke kwa side chick(sio main chick wimbo unaopendwa na aunty yangu wewe na Tetramelyz anasema sauti ya Maua na sura ni tofauti😀) basi nifanye mchakato, nifikishe nusu , nusu nimnunulie simu
Hahaha, Obbe kwanini unapenda muziki saana??
MekuhamuMarahaba kivuruge cha lee empire..