moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,195
- 770,334
Usihofu, wewe tutakuchemshia muhogo wa jang'ombe na viazi vya kibaigwaMi siviwezagi hivyo
Thubutu, mi Facebook wapi na wapi. Hapa hapa jfUmetoka Facebook ee?!
Wewe siyo mchoyo, ila unajifanyisha hapa mbele za watu. Nikikaa nawe kwenye kimgahawa utaninunulia soda na paja la kuku nileHumu wengi wachoyo hasa mimi![]()
![]()
![]()
Ubinadamu ni DAMU, Bila DAMU ni Sanamu. Uhali gani Madam? Kama salaam hii ni Tamu. basi TabasamuSalama
Jibu halijajitosheleza, ongezea nyama mkuu
Usihofu, wewe tutakuchemshia muhogo wa jang'ombe na viazi vya kibaigwa
Sent using Jamii Forums mobile app


Naogopa macho ya watu, labda uje kichochoroni nilitie nyama swali lakoJibu halijajitosheleza, ongezea nyama mkuu
Wewe siyo mchoyo, ila unajifanyisha hapa mbele za watu. Nikikaa nawe kwenye kimgahawa utaninunulia soda na paja la kuku nile![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
sio kwa usawa huu Wa maguOhooo....Naogopa macho ya watu, labda uje kichochoroni nilitie nyama swali lako![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

Hata zikiongezeka sina hofu zitatatulika tu
Naogopa macho ya watu, labda uje kichochoroni nilitie nyama swali lako![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio mmea c mboga kama mboga zingine tuu
MmmhNdio mmea c mboga kama mboga zingine tuu