Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwenye pitapita na gazeti la jamhuri nimeambulia hii ...

Isijekuwa kama sani na story za korea
57b0b5bd2f828864ca2bd6fbdc8c4858.jpg
Loading

Nyagei
 
[emoji524] Heri walio masikini wa roho mana ufalme wa mbinguni ni wao

Heri wenye huzuni maana hao watafarijika

Heri kwenye upole maana hao watairithi nchi

Heri wenye njaa na kiu ya haki maana hao watashibishwa

Heri wenye rehema maana hao watapata rehema

Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu [emoji524]

MATHAYO 5:3-8

HIVI UKIAMKA UNAMSHKURU MUNGU WAKO NA KUMWAMBIA ASANTE KWA KUNIAMSHA SALAMA SIKU YA LEO AU WEWE NDIO WALE WANAKURUPUKA TU BILA MUNGU WE SI CHOCHOTE MSHKURU KWA KILA JAMBO ANALOKUFANYIA [emoji7] [emoji120] MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA
Amen

Nyagei
 
[emoji524] Heri walio masikini wa roho mana ufalme wa mbinguni ni wao

Heri wenye huzuni maana hao watafarijika

Heri kwenye upole maana hao watairithi nchi

Heri wenye njaa na kiu ya haki maana hao watashibishwa

Heri wenye rehema maana hao watapata rehema

Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu [emoji524]

MATHAYO 5:3-8

HIVI UKIAMKA UNAMSHKURU MUNGU WAKO NA KUMWAMBIA ASANTE KWA KUNIAMSHA SALAMA SIKU YA LEO AU WEWE NDIO WALE WANAKURUPUKA TU BILA MUNGU WE SI CHOCHOTE MSHKURU KWA KILA JAMBO ANALOKUFANYIA [emoji7] [emoji120] MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA
Amen
 
Back
Top Bottom