Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Amen, Asante kwa neno la uzimaEe Mungu wangu nalia mchana lakini hujibu na wakati wa usiku lakini sipati raha
Na wewe u mtakatifu uketiye juu ya sifa za Israel
Baba zetu walikutumaini wewe walitumaini na wewe ukawaokoa
Walikulilia wewe wakaokoka walikutumaini wasiaibike![]()
ZABURI 22:2-5
MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Ebu niwekeeni wakina jj shemela nimewamiss jamanNzuri kabisa shemela wa mimi apa
Kwamba sikulala nyumban au ???
Unataka shululu na mwenzake wapatee cha kuongeaaa
♀♀♀♀♀♀♀

Asante shemelaAmen, Asante kwa neno la uzima
Wawatoeee wapiiiiEbu niwekeeni wakina jj shemela nimewamiss jaman
Ya nani yanakusumbua shemelaShemela shululu nishamzoea mie maneno yake ujue baba d hanisumbui kabisa
Ebu kuja ukianguka uanze kunipa shida
Ushaanza
Maraaaaaaa paaaaaaaaaapuuuuuuuEbu kuja ukianguka uanze kunipa shida
Ngoja aje mama yaoEbu niwekeeni wakina jj shemela nimewamiss jaman
Usichekeeee pliiiiiziiiii
Najua unapoelekea shemela kuwa binamu obe ndio yananisumbua mm hayanisumbui yeyote jamanYa nani yanakusumbua shemela
Si bora angekuwa ngwajima?Usiniambie gwajima kaangusha dude tena na ndege yake vipi imeshakuja na ule umeme aliosema ataleta nao vipi
Ndo nani sasaNgoja aje mama yao
Basi nikajua gwajima ili jumapili niingie YouTube kwake nimuangalie anavyoliamshaSi bora angekuwa ngwajima?
Aisee haaaaahaaaa haya buana shemelaNajua unapoelekea shemela kuwa binamu obe ndio yananisumbua mm hayanisumbui yeyote jaman
Nakufahamu shemela ujueAisee haaaaahaaaa haya buana shemela