Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ee Mungu wangu nalia mchana lakini hujibu na wakati wa usiku lakini sipati raha

Na wewe u mtakatifu uketiye juu ya sifa za Israel

Baba zetu walikutumaini wewe walitumaini na wewe ukawaokoa

Walikulilia wewe wakaokoka walikutumaini wasiaibike

ZABURI 22:2-5

MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA
Amen, Asante kwa neno la uzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom