Makapuku Forum

Makapuku Forum

f58480d14067236c78c2f170e377c726.jpg
Duh, hapa anko kidogo unikamate maana mawazo yangu yalichafukwa ghafla bin vuu yakanikimbiza hadi VGA nikadhani ni kifupi cha ile baiolojia maarufu, topic ya fomusirii repurodakisheni
 
Muziki: Technolojia Inaendelea

Naamini kama wewe si mnywaji huwalaani wanaokunywa wakiamua kunywa siku ya leo, maana sisi wanywaji tunajuana kiusawasawa, hatuchagui siku ya kunywa. Nakusalimia Kapuku mheshimika, ninakusalimia sana tena nikiwa nimechangamka sawa sawia na hivi mama Samia keshasema huwa anapiga goti kwa mumewe basi hii ni kitu muhimu, aendelee hivyo hivyo maana Wandira Kazibwe ana stori nzuri kuhusu kuwa mke, kiongozi mkubwa na zaidi kuwa mwanamke. Hongera sana wanawake mliomo humu, FYI, mama yangu ni mwanamke.

Teknolojia inaendelea, kizuri share na nduguzo, kibaya sumu kula mwenyewe ufe utusumbue kukutafutia maziwa. Basi bhna, nimekaa najaribu kuizoea simu yangu mpya Samsung Galaxy, unajua hii kitu ni kama gelofrendi, mnakaa mnazoeana kidogo mwisho wa siku hamna kuoneana aibu, mkilala unaachia ushuzi taratibu na shuka mmefunikana gubigubi.

Niachane na blah blah, nimekaa beach hapa Lindi, yeah, leo nipo lindi jirani na bar nzuri ya Magereza (yaani mimi usiponikuta kwenye nyumba za ibada, utanikuta bar), najaribu kuizoea simu yangu, mambo ya beach sasa nikaona nitayanyima uhuru macho yangu, nikabeba darubini (binocular) nawaangalia tu waliokuja kuvinjari beach maalum kabisa kwa nguo za beach, sio mtu unaenda beach na vitenge au juba, waoneeni huruma wanaokuja kunenepesha macho, vaeni vitu vizuri.

Muziki sasa, leo charanga bhana, sijui lugha gani lakini naikumbuka REadio One ya enzi hizo za kina Anko Chalz, kama si muhenga utahangaika sana. nakuwekea clip hii, haina ubora wa kivile lakini utaifurahia

 
Muziki: Technolojia Inaendelea

Naamini kama wewe si mnywaji huwalaani wanaokunywa wakiamua kunywa siku ya leo, maana sisi wanywaji tunajuana kiusawasawa, hatuchagui siku ya kunywa. Nakusalimia Kapuku mheshimika, ninakusalimia sana tena nikiwa nimechangamka sawa sawia na hivi mama Samia keshasema huwa anapiga goti kwa mumewe basi hii ni kitu muhimu, aendelee hivyo hivyo maana Wandira Kazibwe ana stori nzuri kuhusu kuwa mke, kiongozi mkubwa na zaidi kuwa mwanamke. Hongera sana wanawake mliomo humu, FYI, mama yangu ni mwanamke.

Teknolojia inaendelea, kizuri share na nduguzo, kibaya sumu kula mwenyewe ufe utusumbue kukutafutia maziwa. Basi bhna, nimekaa najaribu kuizoea simu yangu mpya Samsung Galaxy, unajua hii kitu ni kama gelofrendi, mnakaa mnazoeana kidogo mwisho wa siku hamna kuoneana aibu, mkilala unaachia ushuzi taratibu na shuka mmefunikana gubigubi.

Niachane na blah blah, nimekaa beach hapa Lindi, yeah, leo nipo lindi jirani na bar nzuri ya Magereza (yaani mimi usiponikuta kwenye nyumba za ibada, utanikuta bar), najaribu kuizoea simu yangu, mambo ya beach sasa nikaona nitayanyima uhuru macho yangu, nikabeba darubini (binocular) nawaangalia tu waliokuja kuvinjari beach maalum kabisa kwa nguo za beach, sio mtu unaenda beach na vitenge au juba, waoneeni huruma wanaokuja kunenepesha macho, vaeni vitu vizuri.

Muziki sasa, leo charanga bhana, sijui lugha gani lakini naikumbuka REadio One ya enzi hizo za kina Anko Chalz, kama si muhenga utahangaika sana. nakuwekea clip hii, haina ubora wa kivile lakini utaifurahia

Binamu santee
 
Muziki: Technolojia Inaendelea

Naamini kama wewe si mnywaji huwalaani wanaokunywa wakiamua kunywa siku ya leo, maana sisi wanywaji tunajuana kiusawasawa, hatuchagui siku ya kunywa. Nakusalimia Kapuku mheshimika, ninakusalimia sana tena nikiwa nimechangamka sawa sawia na hivi mama Samia keshasema huwa anapiga goti kwa mumewe basi hii ni kitu muhimu, aendelee hivyo hivyo maana Wandira Kazibwe ana stori nzuri kuhusu kuwa mke, kiongozi mkubwa na zaidi kuwa mwanamke. Hongera sana wanawake mliomo humu, FYI, mama yangu ni mwanamke.

Teknolojia inaendelea, kizuri share na nduguzo, kibaya sumu kula mwenyewe ufe utusumbue kukutafutia maziwa. Basi bhna, nimekaa najaribu kuizoea simu yangu mpya Samsung Galaxy, unajua hii kitu ni kama gelofrendi, mnakaa mnazoeana kidogo mwisho wa siku hamna kuoneana aibu, mkilala unaachia ushuzi taratibu na shuka mmefunikana gubigubi.

Niachane na blah blah, nimekaa beach hapa Lindi, yeah, leo nipo lindi jirani na bar nzuri ya Magereza (yaani mimi usiponikuta kwenye nyumba za ibada, utanikuta bar), najaribu kuizoea simu yangu, mambo ya beach sasa nikaona nitayanyima uhuru macho yangu, nikabeba darubini (binocular) nawaangalia tu waliokuja kuvinjari beach maalum kabisa kwa nguo za beach, sio mtu unaenda beach na vitenge au juba, waoneeni huruma wanaokuja kunenepesha macho, vaeni vitu vizuri.

Muziki sasa, leo charanga bhana, sijui lugha gani lakini naikumbuka REadio One ya enzi hizo za kina Anko Chalz, kama si muhenga utahangaika sana. nakuwekea clip hii, haina ubora wa kivile lakini utaifurahia


Asante kwa music bora kabisa dj Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom