Makapuku Forum

Sisi tulilala njee mbagalaa tena kwenye mikeka nakwambia

Sitasahau kwa kweli!!!
 
 
kweli galaxy mpaka emoji umeweza kuweka binamu halaf galaxy haina screenshot ya hivyo binamu ujue cha kuzimia na kuongeza sauti hiyo itakuwa tekno.
 
Mmenikumbusha nyiee watu tulilala nje wiki nzima tena chini kwenye mikeka km tuko matangani vilee
kisa popobawa!!
Sisi tulilala njee mbagalaa tena kwenye mikeka nakwambia

Sitasahau kwa kweli!!!
Acha tu watu walikimbia kulala ndani kwao popo bawa jamaan mara ukikutana nae utoke utangaze siku 7
mtu una watoto na mke usipotangaza sijui unakufa sijui anakuja tena woiiii
 
Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, Nyumba yenye maboma ya kuniokoa


ZABURI 31:1-2

MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU NA MBARIKIWE
 
Amen
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…