Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ukiyapika this week unikaribishe mkuu maana mi wali ndondo hunisogezi!Asante kwa taarifa ila mi nayapenda saaana siwezi kumaliza wiki bila kuppika maharage nyumbani kwangu
Sisi tulilala njee mbagalaa tena kwenye mikeka nakwambiaYaan shemela tulikua wadogo kuna rafiki yetu mmoja tulienda kwao akatuambia baba kanunua kanda ya video ya popo bawa akaiiba tuione nje
Kipindi hiko hakunaga DVD basi kututolea sijui inasema popo bawa kaonekaa znz ni ya maelezo yake tu sasa sisi kuonyeshwa cover popobawa anaruka hivi ana jicho moja acha tukimbie shemelautoto bana
Anakuzingua tuShemela si unakumbuka kipindi cha saa mpya lakini tutakoma na hiyo galaxy sijui galaxy gani binamuuuu ukuje naomba picha mie halaf uniambie ni galaxy gani
mmmh, ile saa acheni tu jamani, sasa usisahau kumtaarifu BH kuhusu mimi kuwa mmiliki wa Samsung Galaxy.
Sijajua ni toleo gani, haya mambo bhana inahitaji muda? Afu ujue inaweza kufanya screenshot, unabonyeza cha kuzimia na kuongezea sauti mara unasikia chwaaaaaa, ndo tayari tena
Natest tu mitambo kwa sasa hivi
🙂😉😀😵
Umeona
Ukiyapika this week unikaribishe mkuu maana mi wali ndondo hunisogezi!
Pamoja sana mpendwa wa ObeNawe pia
Asante kwa mazageti
Asante kwa kuipenda!
Unajua namna ya kujiunga na kifurushi cha chuo?
mmmh, ile saa acheni tu jamani, sasa usisahau kumtaarifu BH kuhusu mimi kuwa mmiliki wa Samsung Galaxy.
Sijajua ni toleo gani, haya mambo bhana inahitaji muda? Afu ujue inaweza kufanya screenshot, unabonyeza cha kuzimia na kuongezea sauti mara unasikia chwaaaaaa, ndo tayari tena
Natest tu mitambo kwa sasa hivi
🙂😉😀😵
Umeona
Picha tafadhali binamu..anko wangu lee empire hana ahadi za wabunge wa ccm, yeye ahadi zake ni za mbunge wa TANU, kaimba sana eeh tanu yanjenga nchiiii, sasa keshanidhamini kwa Samsung galaxy, na ina cover kabisa, nishamaliza kutia pasiwedi
Nimestuka me si nakujua shemela unapotaka kuelekeaHaaaaahaaaa shemela umestuka kweli
Mmenikumbusha nyiee watu tulilala nje wiki nzima tena chini kwenye mikeka km tuko matangani vileekisa popobawa!!
Acha tu watu walikimbia kulala ndani kwao popo bawa jamaan mara ukikutana nae utoke utangaze siku 7Sisi tulilala njee mbagalaa tena kwenye mikeka nakwambia
Sitasahau kwa kweli!!!
Acha tu watu walikimbia kulala ndani kwao popo bawa jamaan mara ukikutana nae utoke utangaze siku 7mtu una watoto na mke usipotangaza sijui unakufa sijui anakuja tena woiiii
AminNimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye
Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, Nyumba yenye maboma ya kuniokoa
ZABURI 31:1-2
MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU NA MBARIKIWE
Hata hivyo shemela nilikupata vizuri sanaNimestuka me si nakujua shemela unapotaka kuelekea
AmenNimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye
Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, Nyumba yenye maboma ya kuniokoa
ZABURI 31:1-2
MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA KWENU NA MBARIKIWE