Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Naona kabisaaUmeona eeh?
Naona kabisaaUmeona eeh?
Yaani Rafiki kipeeeeenz umejiridhisha kwamba muosha rungu ni K?Ina maana kama mtu rungu lake chafu anaenda kuosha kwake.Asaaaaaraaaaaleeeeeh
Sepenga ebhu Mungu hapendiii hizo mambo
Hiyo Shkamo vipiShikamoo Mama N
Ndio asubuhi mmesemaje? Ww na mdogo wako.Naona kabisaa
Aiseee hivi nilisema hivyo mimi kweliii ebu kasome vizuriNitake radhi umesema naweza kua ke!
DJ sepetu
Hapana jamanii... Nilimuaga tuuMkanisema eeh?
NakupendaNipo apa mama n baba d kaniambia unanitafuta
Basi jaman habari yako bhana mama ake najma n naveenHiyo Shkamo vipi
Baada ya kunifokea asubuhiLeo unatoa shikamoo?![]()
Me zaidi dada angu Mungu azidi kukuweka na kukutunzaNakupenda
Eti nakutesa.... Hivi T Umeanza lini kutoa siri za ndoaNdio asubuhi mmesemaje? Ww na mdogo wako.
NzuriBasi jaman habari yako bhana mama ake najma n naveen
AmenMe zaidi dada angu Mungu azidi kukuweka na kukutunza
Vijaa wanachafukwaaa
Jambo mimi jaman dada angu mimiNzuri
Hujambo
Hongeera kwa kipiii ...na amepata wapii ruksa ya kukufokeaaEti naanza kufokewa na mimi kuwa na mm nipo kwenye watu wanaotoa hongera sijui na wakati me nilivyoingia niliuliza hongera za nini na mm nitoe me sitaki jaman hizo mambo kabisa
Unashangaa nn