Makapuku Forum

Makapuku Forum

huyu chid Benz madawa yameshamuathiri eti alikuwa anaongea na 2pac Mungu amsaidie tu jamaan eti 2pac kachukua pin yake ya puani kuna ngoma wamefanya kwa mensen aisee
 
Kibeniii hakiwez mpatiaa mapachaa...mwambie kikiogopaaa akinunulie 3bomba mwenyewe na kwenye maandaliz amvishee yeye unashangaa nn amvishee ndioo ila asisahau kutoboaa ....naendelea baada ya replay
Dada ujue huu bonge la ushauri kutoka kwa baba d ebu fanyia kazi hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom