Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,527
Hizo za kukataa zinatokaga copy ujue.... Haha ila akiwa sura ya baba ni changamotoo... Nataka ka blackie kama mieee










Shikamo sakayo na roho yakoo
Hiyo bikira kwa wakwakoo kinatoka akiwa bado tumbon ....ulivokuwa na roho ya faza







Wawiliii wa kike kwa mkupuoo au....Hebu nipe tena... Nataka wawiliiii ujue
Au dada Ben 10 huyo unanificha mbona muoga muoga hivyo lakiniWoooiii...
Itakuwa mapacha baba dWawiliii wa kike kwa mkupuoo au....
??
Hahahamwehu wewe
Atachomoajeee wakatiii anataka kababy....labda achomoeee mwishoniii wagen wakiwa tayar sebureni ...tena sio sebuleni ni chumban kabisa chenye ac na selfDada ujue kila mbinu anachomoa
Kadume na jike.... Nifunge mkatabaWawiliii wa kike kwa mkupuoo au....
??
Mdo ushakwaaa sasaaaaMxiuuuu
Unaona mieee ni wa kutoka na ben ten