Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,473
HayaVizur
HayaVizur
HahahaWoyooooooooo kwahiyo wanakuja double woiiii laki 3 na kitu
Mmh baba d jamaanKhaliiii ...namanisha waendeleaje
We acha tuu mdogo wanguhamu yote imeisha ujue kama nakuona ulivyovimba
Nisipokukuliaaa khali mm nan sasa afanyee hivooMmh baba d jamaan
Kweli ujue ebu fanyia kazi mvalishe mwenyewe utoboea achana na miguno yako ya uchocheziMmmmh
MhNyagei yukoo wapi
SawaKweli ujue ebu fanyia kazi mvalishe mwenyewe utoboea achana na miguno yako ya uchochezi
Utaniii bhanaaaa...
Kwahiyo ni mapacha hao dadaHahaha
Utatoa mara moja tuuu
Hakuna jamaan baba dNisipokukuliaaa khali mm nan sasa afanyee hivoo
Kabisaa...Kwahiyo ni mapacha hao dada
Wewe mm huwa nakuwa upande wako siku zote kukusaidiaa maushaur na matatizo ila sitoshangaa mimba ikiingiaa ikanichukiaa mpaka unajifunguaaSawa
Wale ni changamotoo...kama nakuona ujue