usiwe ma hasira mkuu aggy hana chochote ni mzima, bado akupenda, achana na youngblood hana lolote kwanza jogoo hawiki mjini...
cc
Aggyjay acha kumtishia emmyguy bhana, rudi kwako
Mshkaji tu,sina mimba wala nin but huyo kakako nlikia namjaribu kama ana moyo wa kusamehe.Kumbe hana!!
Maishani tunakumbwaga na mazito mbeleni na msamaha ndo kila kitu ili safar had uzeej itimie.Kamwambie haya!
usiwe ma hasira mkuu aggy hana chochote ni mzima, bado akupenda, achana na youngblood hana lolote kwanza jogoo hawiki mjini...
cc
Aggyjay acha kumtishia emmyguy bhana, rudi kwako