Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Additional
Leo asubuhi kulikuwa na pambano la pesa
The money fight
Floyd Mayweather vs Connor McGregor
Hapa niwaweke sawa tofauti ya KO NA TKO
KO ni kitendo cha kupigwa na ukashindwa kufurukuta baada ya kuangushwa na ukahesabiwa mpaka kumi.
TKO ni pale unapozidiwa hata kama hukuangushwa, refa akaamua kusimamisha pambano au timu yako kurusha taulo ulingoni kuashiria pambano wameshindwa.
Leo asubuhi kulikuwa na pambano la pesa
The money fight
Floyd Mayweather vs Connor McGregor
KO ni kitendo cha kupigwa na ukashindwa kufurukuta baada ya kuangushwa na ukahesabiwa mpaka kumi.
TKO ni pale unapozidiwa hata kama hukuangushwa, refa akaamua kusimamisha pambano au timu yako kurusha taulo ulingoni kuashiria pambano wameshindwa.
