Ni kweli usemayo my dear..Ndiyo maana nilimuomba uthibitisho tu na akakimbia labda alijua nita-overreact ila nilivyomrudia mwenyewe na sababu hana ushahidi amekula kuna...Nakupenda sana honey na kwa uzuri wako naamini wengi watakutaka ila nakuamini sana kwamba majaribu yote utayavuka kwa ajili ya heshima ya ndoa yetu..