Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika historia

1961 - Ida Siekmann anafariki alipojaribu kuvuka ukuta wa Berlin.
617cf252b4ddc04ec7b2899997a04e4c.jpg
na yy ndio alikuwa MTU Wa kwanza kufa kwenye vita hiyo
 
Leo katika historia

1973 - Bunge la Chile lapiga kura ya kutokuwa na imani na Rais wa nchi hiyo, Salvador Allende.

Bunge liliadhimia Rais ajiuzulu ili kupisha uchaguzi mpya, vinginevyo wangetumia nguvu kumuondoa.
48bdb2163f072cb0f829720027d43278.jpg
aliingia madarakani mwaka1970 akafa miaka mitatu baadae

Alijiua mwenyewe
 
Leo katika Historia:

Haina la ziada...... Jina langu ni Jimena Jimenes....
Kwa udhamini mnono wa Chia seeds sina la ziada!!!...
Nawatakia siku njema na furaha tele
cf091819f75cfc3f1bd67a6b28760bf6.jpg

Jipatie paketi yako sasa kwa bei ya shilingi 10,000/=
Asante pacha kwa Leo katika historia
 
Back
Top Bottom