THE DOM
Sehemu Ya 21
Mtunzi..... MoonBoy
Simu No. +255714419487 WhatsApp
Instagram....
Ilipoishia Jana →↓↓↓↓←
SON OF PRESIDENT GU
Nooooo,... Si unajua thamani ya kondoo hutokana na nini"
"najua, hutokana na mkia"
"basi mteja kapenda mkia"
Sasa leah ndio anajua kumbe sahi anataka kinyume na maumbile,.. Masini leah hajwahi hata kutaamkiwa hilo tendo, sijui kama alishawahi kufanya,...
"sahi, unamaanisha unataka huku"
"yes, kidogo tu leah"
"hapana... Sahi, siwezi kufanya hivyo.. Sijawahi hata siku moja yaani hata kutaamkiwa hilo jambo"
"kichwa tu"
"No, No, Siwezi sahi.... Sijawahi... Nitapata shida kupata mtoto.. Naomba endelea huku tu"
"leah, kwani hunipendi"
Leah kusikia hivyo, mmmhh alinyamaza kwanza,... Kisha akasema
"jamani sahi, nitaolewa na nani mimi nikifanya huko, wanaume wengi hawapendi wanawake wenye tabia hio"
"nitakuoa mimi"
Leah alitoa macho kama paka mwizi
Ila kama unavyojua wanaume tulivyo waongo
"Sahi unasema kweli?"
Leah aliongea hayo huku akikumbuka kauli ya mama yake mzazi ikisema kuwa
"MWANANGU, UNAKWENDA MJINI, LAKINI NAOMBA UJITUNZE MANA RAHA YA MWANAMKE NI KUOLEWA MAMA, SAWA"
alipomaliza kukumbuka kauli ya mama yake,.. Alimwambia sahi kuwa
"lakini mimi sijawahi jamani sahi, ntaumia"
ENDELEA........
Yaani leah kwa fundisho alilolipata kwa siku jana na yule mama, akichanganya na kauli ya mama yake mzazi aliomwambia siku wakati ndio anakuja mjini,...
Aliona kuolewa ndio ishu ya mjini, tena anaitamani ndoa sana tu sema uchangudoa alio nao ndio balaa kwa wanaume waoaji,.. Kweli ni mzuri na ana umbo zuri lakini kazi yake jamani umalaya tupu,..
"lakini mimi sijawahi jamani sahi, ntaumia"
Aliongea leah huku kweli akimgeuzia sahi mkia, kweli leah alikubali kitoa mkia ili aolewe na sahi, sasa uliona wapi mwanaume akaoa mwanamke mtoa mkia,.. Sahi kila akiingiza mtoto wa watu anashtuka kama kwamba ni kweli hajawahi kufanya tendo hilo,.. Kila akiguswa leah hatulii,..
"nini leah"
"nimekwambia sijawahi sahi, nionee huruma basi taratibu"
"sawa..... Ayaaaaa... Kalete kondom kwenye mkoba wako leah"
Sahi aliongea hayo huku akikumbuka zinaa bila kondom haifai,... Sasa sahi kasahau jana kamla mtoto wa watu nila kondom, na mbaya zaidi leah ni changudoa, tena member haswa,...
"mimi sina kondom jamani sahi"
"sasa kazi yako unaifanyaga vipi,.. Inamaa wanakukula bila kondom"
"sahi, mimi sio malaya kama unavyofikiria sema sina cha kujitetea kwakuwa umenikuta katika mazingira yale"
"aaahhh we malaya mi siwezi kukufanya bila kondom"
"sasa sahi jamani, mbona jana umenibabadua raundi nne nzima bila kondom"
"leah unasemaje we malaya"
"jana hatujavaa chochote"
"mungu wangu leah ushaniua aisee,.. Leah ujinga gani umefanya lakini we malaya??... Kutwa kucha una wanaume afu unakuja kunipa mdude wako bila kondom kwanini lakini leah"
"sahi mimi nipo salama"
"salama ya baba ako.... we fara nini wewe, ivi una akili wewe bwege"
"sahi... Nipo tayari tukapime uhakikishe, mimi sio malaya sahi"
"sitaki uniambie usenge wako"
Sahi alikasirika sana hata hamu ya mkia hakiwa nayo tena, yaani hatamani mkia wala wa masikio,...
"nisamehe basi"
"yaani kama sio kuitafuta dom wewe ningekuchapa risasi ufilie mbali hiko"
Unajua jana sahi alidatishwa na mtoto wa kitanga, kadata mpaka kasahau kuulizia kondom,.. Akajikuta anafanya kavu kavu, mbaya zaidi leah ni changudoa tena member kabisaa.....
Leah alimaliza kujisuuza sahi kwani hata anakumbuka hilo,.. Katoka na povu lake akajifuta tu
"njoo ujisuuze basi jamani"
"afu wewe, sitaki mazoea na wewe.... Tena lazima tukapime,... Ole wako ukutwe nao, yaani leo nabeba bastola, yaani ukisemekana unao tu.. Sikuachi"
"sawa, beba hata bastola mbili, unipige kote kote"
Aliongea leah kwa kujiamini mno,...
"nenda kavae twende mbwa wewe,..."
"supu je"
"aiseee wewe, ivi unanijua vizuri"
"basi yaishe"
Leah kaingia chumbani kwake ili kubadili nguo,.. Sahi hana hata hamu na supu tena, haaa mtu anaejiuza leo utembee nae kavu kavu, heeeee sahi haamini macho yake, yaani haamini kabisaa... Masikini supu iliwekwa mezani inaachwa ivyo ivyo ilivyo, leah akiangalia supu alioipika ikapikika, leo hainyweki tena,.. Waliiacha hapo mezani kisha wakapanda gari wote kulekea hospitalini,... Anaetakiwa kupima ni leah mana sahi akipima hatoonekana kuwa nao kama kaambukizwa... Mana ni leo tu, ila leah ndio wa kupima,.... Walitoka nje ya geti na kulifunga kwa rimoti,...
Sahi alikuwa na hasira ya ukweli ukweli, yaani leo kitaumana huko hospitalini.... Haikuchukuwa muda wakawa wamefika katika hospitali moja hivi ndogo iliopo jirani na ostabei,.... Waliingia hospitali hapo na kumuona dokta mkuu,
"za saa hizi dokta"
Alisalimia sahi wakati huo sahi ana hasira lakini alionyesha sura ya bashasha
"salama kijana hali yako"
"nzuri tu"
"Enhee niwasaidie nini na mama"
Dokta aliongea hivyo akizani ni mkewe, kumbe ni kahaba fulani tu..
"aahhh tumekuja kujua afya zetu"
"ooohhh vizuri sana kijana, uamuzi mzuri sana... Yaani kwa jinsi mlivyo naanza na nyie, mana mumenifurahisha sana"
Aliongea dokta huku akichukuwa zana za kazi kwa ajili ya kuanza kuwapima wawili hawa,.. Leah hakuwa na wasiwasi kabisa yani utafikiri alikuja kupima jana,...
Basi walipimwa wote kisha wakapewa dakika chache wakae mahali,
Huku Ikulu kwa Mheshimiwa rais aliokuwa akipiga simu kwa General wake mkuu wa majeshi,..
"hallo, nyange"
"ndio mheshimiwa rais"
"nakuhitaji uje ikulu kesho"
"kuna nini mr President"
"amri yangu hua haina maswali"
Raisi alikata simu kisha akatafuta namba nyingine, hatujui ni nani
Sasa huku kambini, TMA wakiwa wamekaa watu watatu,.. General nyange, General Deo, na Joseph John ambae ndio mkuu wa pili wa kitengo cha TSS kule jijini Dar es Salaam, sasa hapa yupo arusha..
"baba yako kanipigia sasa hivi tu"
Aliongea General Nyange kwa kumtaarifu Joseph ambaye ndio mtoto wa rais GU, huku akiwaonyesha wenzie namba za mkuu wa nchi,....
"amesemaje"
Aliuliza Joseph, huku akiwa na wasiwasi kuwa tayari wameshajulikana... Lakini kabla Nyange hajajibu, ghafla simu ya Joseph inaita...
"aaahhh mbona ananipigia"
"nani huyo, ni raisi"
"ndio, ni baba"
"mpokelee"
Joseph aliipokea simu ya baba yake, wakati huo ni uoga mtu aliokuwa nao
"haloo mr daddy"
"sitaki cha Daddy wala konyagi... Nataka kesho saa tatu kamili nikuone Ikulu mara moja"
Kabla Joseph hajauliza simu ilikata kisha ikaita kwa generally deo,... Yaani kila mmoja alio onekana kwenye ushahidi lazima apigiwe simu, kasoro wanafunzi tu, mana anajua hawa wamekokotwa tu... Wote walipigiwa simu wafike Ikulu, na mbaya zaidi walikuwepo wote wakati wanapigiwa kila mmoja...
"mzee nyange, hili ni jipu hili, yaani hapa hatuna chetu tena"
Aliongea Joseph ambae ni kijana mdogo sana, ila ana cheo kikubwa mno,... Yeye mavazi yake ni suruali nyeusi na shati jeupe, kisha na tai nyekundu, huyo ndio Joseph hata kwenye kava tunaona picha hio,.. Ila sahi yeye ni mzee wa nguo nyeusi tu, na ndio mana akaitwa BB (Black Boy)
"ni kweli, yule kijana ni hatari sana"
Aliongea mr deo, huku Joseph akidakia kuwa
"mbaya zaidi yule ni mtoto wa General nyange"
Aliongea Joseph huku General nyange akiwa kimya
"ndio, mtoto wake ndio katuchoma"
Kwa sasa sahi keshajulikana kiwa sio sahi, bali ni sheby ambae ni mtoto wa General nyange,..
"lakini huu sio wakati wa kulaumiana, hata mimi sijui kama ni mtoto wangu, nyie ndio mnaniambia hivyo"
"sasa kama sio mtoto wako ni nani"
"mimi najua mtoto wangu alishakufa"
"ok Tuachane na hayo,... Mzungu wa dom anasemaje"
Aliuliza Joseph mana yeye ndio kiungo mkabaji kwenye dom
"mzungu amesema dom ni feki, na anahitaji dom original, nami najua tu ile tuliompa yule kijana ndio dom original, na ni lazima awe nayo tu"
Aliongea general nyange, huku akitamani hata kulia yani,...
"sasa atatupatiaje hio dom"
Aliuliza Joseph Wa John huku General nyange akiumiza kichwa jinsi ya kuipata dom....
"yes, nimepata wazo... Lazima tuipate, na tukisha mkabizi mzungu, sioni haja ya kuwepo Tanzania tena"
Aliongea general nyange huku general deo katulia tu,... Joseph akauliza
"ni wazo gani umelipata mzee"
"tulia kijana... Sasa wewe pambana kuitafuta Codes za dom original, mana tumeshaipata tayari"
"tumeipata kivipi general"
"we kalete codes zake kama ulivyoleta dom"
Aliongea mr nyange kwa kumbembeleza Joseph.... Sasa hapa ndio tunapata picha kuwa Joseph ndio alioiba ile dom kule BOT, mana ana cheo kikubwa na istoshe ni mtoto wa raisi,...
"sawa, nitaifanyia mpango hio codes, lakini kuwa makini General"
"usijali"
Sasa katikati ya maongezi mara General deo kauliza swali
"ivi huo wito wa ikulu inakuaje jamani"
Aliuliza mr deo, lakini nyange akamjibu kwa utaratibu....
"nani aende,... Yule kijana tayari keshatuchomea, yaani tunakwenda kitumbuliwa hadharani mbele ya wananchi,... Siendi ng'ooo"
"hata mimi siendi"
"basi hata mimi siendi"
Wote walikataa kwenda ikulu hapo kesho, na hapo ndio wamesha asi jeshi, tayari wapo kinyume na amri ya mkuu wa nchi,...
Mpaka hapo tayari wako nje ya utumishi wa nchi...
Huku hospitalini sahi akiwa na wasiwasi juu ya vipimo walivyopima pinde tu hapa hospitalini,...
"leah umeshaniua eti"
"mimi mwenyewe nina wasiwasi na wewe sahi"
"tena usinijibishe ujue, ntakuzaba bao sasa hivi eti"
"basi yaishe"
Sahi ana hasira na leah sema kwakuwa tu ana kazi nae hivyo anamstahi tu,...
"mnaweza kuja wapendwa"
Leah ndio wa kwanza kuamka baada ya kauli ya dokta kuwaita waingie ndani
"kwanza nawapa pongezi kwa uamuzi mliouchukuwa"
"Ahsante sana dokta"
Alijibu leah wakati huo sahi moyo juu juu, yaani changudoa kama huyo kukosa gonjwa ni kitu kisicho wezekana,..
"labda mnaweza kuniambia nani kawapa ushauri wa kuja kujulia hali afya zenu"
"dokta, naona maswali mengi sana, ebu tupe hayo majibu tukafie mbele uko"
"ok.. Samahanini sana,... Kiukweli afya zenu ni nzuri, hakuna mwenye gonjwa hata mmoja... Ila mjitahidi kula vyakula kama matunda matunda hivi, ili kuziboresha damu zenu, mana damu ya huyu dada ni damu yenye kupatwa na magonjwa kiurahisi, hivyo kuleni matunda kwa wingi,.. Ila msiache kuja kupima kila baada ya miezi mitatu"
Sahi haamini yani, mana uzima wa leah ndio uzima wake yeye,...
Waliondoka hapo na kupanda katika gati
"umeamini sasa mimi ni mzima"
Aliongea leah, huku akimrembulia sahi
"sina haja na mcho yako.... Sasa sikia hapa tupo kikazi zaidi,.. Safari inaazia hapa hapa"
"kwa muda huu, hatutofika leo, ni bora tulale tuende kesho"
"gari ni yangu, tutakapofikia nitakupangishia gest ukalale mi nitalala kwenye gari"
Leah roho ilimuuma sana, mana tayari keshampenda sahi, yaani anatamani hata kuolewa nae,..
"sahi, kwanini ulale mbali na mimi... Nimeshaujua utamu wako, kwanini tusilale wote"
"mapenzi na wewe sitaki tena"
"sahi, nakubaliana na maneno yako... Lakini nakuomba pale unapota nafasi ya kuoa mke wa pili, naomba unioe mimi,... Najua nyie Waislamu mnaruhusiwa mke zaidi ya mmoja, nipo tayari kukutumikia kama mkeo, na shivaz siendi tena... Naomba uwe mme wangu sahi, hata mimi nahitaji kuolewa jamani,... Please, niwe mke wa pili hata watatu, lakini nihakikishe nina mume ambae ni wewe"
Je? Sahi atamjibu nini Leah??? Na je? Wanapokwenda watamkuta Sauda, na je wataiona dom?? USIKOSE
ITAENDELEA.....