Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Nzuriii mkuuZa asubuhi makapuku wote
Nzuriii mkuuZa asubuhi makapuku wote
Leo kazi ipo
Na kwako piaaNawatakieni wote siku njema
He slaa karudi!
Pole manji nahisi kuna sehemu uliwauzi wenye nchi ndio maana wanakuandama
[emoji23] [emoji23] wanachadema lupango pamekuwa km nyumbani kwao sasa
We sumaye ushaishiwa babaa
Huyu DC ni jipu itabidi atumbuliwe
Magazeti ya wazungu
Presha inApanda weee.... Inashuka
Mama cokie rudi kwa mumeo banaa
Uwe na siku njema pia Shululu.Nawatakieni wote siku njema
Asante shemela kwa magazetiNawatakieni wote siku njema
Wooooozaaaaa
Ubarikiwe pia Shunie[emoji524] Ulimi wako watunga madhara kama wembe mkali, Ewe mwenye hila
Umependa mabaya kuliko mema na uongo kuliko kusema kweli
Umependa maneno yote ya kupoteza watu ewe ulimi wenye hila [emoji524]
ZABURI 51:2-4
MBARIKIWE SANA MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA [emoji120] [emoji7] NAWAPENDA TU MIMI
Aiseee [emoji41]
Sasa we shilole hayo kukunana huko sie yanatuhusu nn?!