Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,002
- 150,528
Nzuriii mkuuZa asubuhi makapuku wote
Nzuriii mkuuZa asubuhi makapuku wote
Leo kazi ipo
Na kwako piaaNawatakieni wote siku njema
He slaa karudi!
Pole manji nahisi kuna sehemu uliwauzi wenye nchi ndio maana wanakuandama
wanachadema lupango pamekuwa km nyumbani kwao sasaWe sumaye ushaishiwa babaa
Huyu DC ni jipu itabidi atumbuliwe
Magazeti ya wazungu
Presha inApanda weee.... Inashuka
Mama cokie rudi kwa mumeo banaa
Ulimi wako watunga madhara kama wembe mkali, Ewe mwenye hila
NAWAPENDA TU MIMI
Uwe na siku njema pia Shululu.Nawatakieni wote siku njema
Asante shemela kwa magazetiNawatakieni wote siku njema
Wooooozaaaaa
Ubarikiwe pia ShunieUlimi wako watunga madhara kama wembe mkali, Ewe mwenye hila
Umependa mabaya kuliko mema na uongo kuliko kusema kweli
Umependa maneno yote ya kupoteza watu ewe ulimi wenye hila
ZABURI 51:2-4
MBARIKIWE SANA MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA![]()
NAWAPENDA TU MIMI
Sasa we shilole hayo kukunana huko sie yanatuhusu nn?!