Makapuku Forum

Mwanamke gani atakaetaka kuumizwa aisee
 
3/ jana tulipata kumfaham mtu mwenye masharafa marefu zaidi duniani leo nakujuza mtu mwenye ndevu a.k.a mzuzu ndefu duniani



Anaitwa Sarwan Singh, aishiye Canada, ndevu zake zina urefu wa 2.495 m (8 feets)

Zilipimwa huko Surrey, British Columbia, mnamo tarehe 8 September 2011

Ndevu zake hupimwa mara kwa mara ambapo tarehe 4 March 2010 zilipimwa na kua na urefu wa 7 ft na alipopimwa tena September 2011 huko United States of America zilionekana kurefuka zaidi

Anasema bila ndevu zangu, najihisi niko mtupu na najiona sio mimi bali ni mtu mwengine

Madame S
 
Domokaya
Sufuria la chooni

Hamorappa na Chibu hawaoni ndani

.....
 
Huyu labda apate mlemavu mwenzie
 
Too much is harmful

Kikiwa kidogo sana shida
Kikiwa kikubea sana shida
Wastani ndio mpango

Shunie anapenda hiyo

.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…