Timu ilikuwa na upungufu mkubwa kwenyesafu ya ulinzi.. holding bado, monreal ile si nafas yake, kwa soka lile km mustaf akirud na koncienly itakuwa safi sana, kolasinic kaongeza kitu fulani kule kwenye ukuta, kla ingependeza kama akiongeza midfielder moja elneny bado kidogo, labda arud cazorla au jack wilshere.. welbeck homa ya vipindi kama waingereza wengine.. lacazzete anafaa anashiriki kwenye mchezo mzima, anakabia juu, anaparticipate kwenye kucheza na kushambulia pia.. wenger anakila sababu ya kumuongeza mkataba ox chamberlain..
Tycoon MAKAVELI Jr.