Makapuku Forum

DID YOU KNOW?!
Maisha hayana formula, ishi kwa principle zako unazoziamin, usijaribu kuiga kwa mwingine sababu yeye anaishi maisha yake na si yako.. ukiiga umefeli, maisha ni mtihani sasa ukicopy na kupaste utaumia tu cz yawezekana maswal yaliyo kwenye pepa yako c yaliyokuwepo kwenye pepa yake..

Tycoon MAKAVELI Jr.
 
Kolasinic kweli jamaa yuko vizuri kuanzia mechi na chelsea ...kiungwana futen ile kauli ya kwamba mlimchukua bureeeee
 




Leo Makapuku hatimaye inavuliwa jezi ya ukampteni!
Leo inaovatekiwa kwa repplies nyingi ever kwa thread humu jf.
Jembekillo unaona mambo yako haya, watu wako bize na uzi wako ma uchumi unashika sababu watu hawashiriki uchumini ipasavyo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…