Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Kwani kuna tofauti gani kikiwa kitupu na kikiwa na hizo mambo ujue najifunza binamuSijui nitumie lugha rahisi uelewe haraka, well, ngoja nitumie lugha ya picha. Ukijishika kiunoni na ukaoni ni peupe tu kama kiwanja cha shule yaani hakina nakshinakshi kama shanga na nyuzi basi ndo ujue kinu hakijanakishiwa. Yaani hata hina tu hakuna
