Makapuku Forum

Nilivyoingia nikakuta comment kibao zenye viashiria vya uvunjifu wa amani ila kumbe mlikuwa mnataniana sasa nikafikiri mlilumbana ndo nikawa naelezea kwamba kitaniana humu ni kawaida na watu wasimind mambo madogo madogo
.....
Wala Usijali mwaya..

Samahani kwa kukupa wasiwasi, ilikuwa ni upuuzi wa lee Ule
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…