Makapuku Forum

Ndo maana ake nilikuta kule kakuandika T tena kwa heruf ndogo nikauliza unazidiwa na mr Bean
Kabla sijaja kapuku kumbuka nilikuwa siasani, mmu na kwingineko kote huko niko na friends, brothers and sisters... So Kuja kapuku hakunifanyi niwakwepe au niwachukie watu for nothing... Siweziiii acha taniana na watu eti kisa nina mume humu..

T atabaki kuwa mume wangu tu... Hayo unayotaka kuchunguza ni yako it's none of my business...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…