Makapuku Forum

Katika dondoo za bbc. ..



.....Ikiwa imesalia siku moja kabla ya uchaguzi mkuu nchini Kenya, Katika kaunti ya Nakuru maandalizi yamekamilika kwa mkutano baina ya mkuu wa usalama wa bonde la ufa ujumbe wa waangalizi wa umoja wa ulaya na mkuu wa tume huru ya uchaguzi kaunti hiyo Silas Rotich.baadhi ya makanisa ya nchini humo yametumia muda wa ibada zao kuombea uchuguzi huo.

.....Idadi ya wakimbizi nchini Uganda imefikia million 1.3 na wiki hii wamesherekea utamaduni wa mataifa yao wanakotoka, kwa maonyesha ya vyakula kama njia ya mshikamano.
 
Asantee mke mwemaa
 
Amen
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…