Jihadharini na manabii wa uongo watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa undani ni mbwa mwitu wakali
Mtawatambua kwa matunda yao. Je watu huchuma zabibu katika miiba au tini katika mibaruti?
Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda na mti mwovu huzaa matunda mabaya
MATHAYO 7:15-17
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu na mbarikiwe sana