Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Naona tumebaki wenyeweHahaa
Naona tumebaki wenyeweHahaa
MwenyeweAmigos..!
Voy a estar fuera de jamiiforum por algunas veces.
Hasta luego.
I meant this..Mwenyewe



Ulishindwa nini kuandika hivyo.... Mkojo wako unahitajikaI meant this..
Friends
I will be out of jamiiforum for sometimes..
See you again.
Kuna ng'ombe amevimbiwa kwani?Ulishindwa nini kuandika hivyo.... Mkojo wako unahitajika

Tuliongea kuhusu nyama choma leo sijui tutaenda ila siku haijaisha mpaka sa 1kitu kama hichoo
EeeenhKuna wakati kuku anatakiwa awe chini ujue
Ahahah kweli jamaan Baba D angekuwa kama msechu mbona ningemnyima hata chakula ili apungueHahaha
Najua hata chongo utasema kengeza
Ewaaaaa upo kama mimi ila isiwe kama ya ruge aiseeRuge ni handsome zaidi bhanaa... Haha mieee huwa nazimiaga wanaume wenye sura za Baba
Polee jaman mondray si una bae lakini au bae geishaIla nyie hzo story zenuu banaa,
Shauli zenuu
Kweli dada ujueKomaaa
Kumbe nilijua sura kama ya rugeUmemuona Ruge ana kitambi wewe

MmmhNgoja nikikubofya baadaye utasema tuu
Kweli mapenzi yana nguvu jamanAkome kabisaa kutaja vitambi
