Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Poa,baby wako umemficha wapiNiajeee mazeiyaaa
Poa,baby wako umemficha wapiNiajeee mazeiyaaa
Baba angu me hata wakikuteka mwaka nafanyaje sasa nimekuchagua mwenyewe na kukupenda mwenyeweSasa si naona hujapenda nirudii ...
S wa TEwaaa
Huyo wa kwanza ila kuna mwimgine dada shunie nitamwomba akanitafutie wote wawiliAtakuwa mama mchuchu huyo
Dada sakayo unamsoma shemeji yako lakini natamani kucheka shunie me ila kwa ujio huu wa neno jamaan acha tumshkuru Mungu tuNa mama kipenzi navojua bidii Ya mchwa ni Kujenga Nyumba Kwa Mate Yake.......
Hivo hivo
mwanamke mwenye hekima hujenga nyumba yake; Ila Mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

Kaka endelea tu kumtafuta huyo mtu utampata tu jaman
hata hutaki kujua ni nani
Nakupenda dada anguWoyooo
Sawa mke mweePole ucwe unjfungia ndani utakufa na mawazo
Sawa kakaHuyo wa kwanza ila kuna mwimgine dada shunie nitamwomba akanitafutie wote wawili
Me pia dada akeeNafurahi kukuona
Toka nimerudi nimejaribu kuangalia kila sehemu sijamwona mama mchungaji nae simwoni mwezi umeiisha saiziKaka endelea tu kumtafuta huyo mtu utampata tu jaman
Baba D kuwa na Amani zote hakuna ulichonikosea nakupenda lee wanguSorry ...niombee msamaha

NakupendaaBaba angu me hata wakikuteka mwaka nafanyaje sasa nimekuchagua mwenyewe na kukupenda mwenyewe
Sawa dadaSawa kaka
Dada sakayo unamsoma shemeji yako lakini natamani kucheka shunie me ila kwa ujio huu wa neno jamaan acha tumshkuru Mungu tu![]()

Huyo ndio kawaida yake akichokozwa hukoMkuu tumepoteana kuna nini nimekukuta tu sehemu unamwaga povu lako

UsijaliSorry ...niombee msamaha
Sawa dadaHuyo ndio kawaida yake akichokozwa huko![]()
Niwatafute tenaHuyo wa kwanza ila kuna mwimgine dada shunie nitamwomba akanitafutie wote wawili
Najua ndo maana nilienda mbembeleza ujueUjue wewe dadakee