Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HahahaIle zawadi yako...
Niliisahau kwenye gari wakati nachukua picha..
Naiomba bhanaa
HahahaIle zawadi yako...
Niliisahau kwenye gari wakati nachukua picha..
Hamna.. Ni changamotoo tuuWewe na T naona majibu flani dry..yananichanganya...halafu clkey anachochea flani..kunani?
Nipo kwenye msafara pia...Leo niko na mood... Ujue anko yuko jirani tuu hapo

Sakayo anamchokoza jirani/dada/ yangu Clkey..Sijausoma mchezo ujue
Chungulia basi kwenye kioo jamaaniNipo kwenye msafara pia...
Too irrelevant..Wewe na T naona majibu flani dry..yananichanganya...halafu clkey anachochea flani..kunani?

Funguka shemToo irrelevant..![]()
Umeeelewa tofauti kabisaaaFunguka shem

Woga wako tu, sakayo mwelewa sanaUmeeelea tofauti kabisaaa
Sitaki clkey na sakayo waelewane vibaya..
I w'ld better keep my bowl shut..
Leo amekuwa dada eehSakayo anamchokoza jirani/dada/ yangu Clkey..
Akikujibu uniiteFunguka shem
Chungulia basi... Niko hapa na kasuti ka dark blueHahaaa!
Nimeshika camera...
Hivi ilikuje jana ukaniita clkey kule chumbaniUmeeelewa tofauti kabisaaa
Sitaki clkey na sakayo waelewane vibaya..
I w'ld better keep my bowl shut..
Hahaa..! Fear is sometimes a way to calm a storm..Woga wako tu, sakayo mwelewa sana
Na clkey ni matani mingi sana hana tatizo mkuu