Makapuku Forum

7/Haruki Murakami
Hili ni jina tu jamani huyu jamaa anaweza kuruka kama hamuamini mpeni kamba muone anavyoruka hadi staili ya mkasi
Ni jina tu la Kijapan lenye maana nzuri tu kama ilivyo Takuma na Kumamoto sio matusi kwao
Alizaliwa Machi 12 mnamo mwaka 1949 huko Japan
Huyu jamaa ni balaa huko Asia kiasi cha kushinda World Fantasy Award mwaka 2006
Anakubalika hadi huko kwa Wazungu Vitabu vyake vimetafsiriwa katika lughazaidi ya 50 duniani
Ameuza mamilioni ya nakala duniani kote na kuingiza mkwanja wa maana
Kitabu chake cha 1Q84 chenye kurasa 1,600 ndio kilichoitikisa dunia kwa utunzi wake uliotukuka
.......
.
 
6/Stephen King Alizaliwa Septemba 21 mwaka 1947
Huyu jamaa alijikita kuonesha migogoro ya kitabaka na utamaduni tangu akiwa bwana mdogo
Ni mwandishi mzuri wa vitabu Kitabu chake cha The Rest Stop ndio kilichobamba zaidi maana alipangilia mambo vizuri kuanzia wahusika hadi stori nzima
Ila pia kuna:
It
The Shining
Carrie
The Stand

..................................
Zitaendelea baadaye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…