Makapuku Forum

8/Dunqan Revolt
Vita hii ilipigwa huko China kuanzia mwaka 1862 hadi mqaka 1877
Hii inachekesha kidogo Wachina walikuwa wanapigana tu Kung--Fu zao ovyoovyo tu bila malengo au watoto wa Uswaz husema kutest mitambo
Ilipigwa zaidi sehemu ya magharibi mwa Yellow River
Inasemekana tu walikuwa wanapigana dhidi ya Qing Dynasty ila hakuna hata kaushahidi japo 10% kuthibitisha hilo suala
Mwanzoni watu wake Dunqan walivamia jiji la Beijing ila wakafeli na hivyo kutimkia na Urusi,Kazakhstan na Krygystan

Mwisho wa siku Wachina takriban 12,000,000 walipoteza maisha
......
 
Siti ya mbele
 
7/Conquests of Timur--e--Lang
Ilipigwa kati ya mwaka 1369 hadi 1405
Ilipigwa sehemu za India,Mashariki ya Kati,Asia ya Kati na Urusi
Kipindi hicho Timur ilikuwa katika ubora wake hivyo kutaka kuiondoa Mongol Empire halafu hapohapo ilivuma kwa nguvu dhidi ya Islamized Tatar Golden Horde ambaye iliishi kwenye mazingira ya kijijini na kuanzisha vita zilizoathiri maelfu ya Waislamu na tawala zao kama vile Ottoman Empire

Zaidi di ya watu 20,000,000 walipoteza maisha
.......
 
6/Qing Dynasty Conquest of Ming Dynasty

Vita hii ya kibabe ilipigwa kuanzia mwaka 1616 hadi 1662 yaani takribani miaka 50 wanakung'utana tu
Ilipigwa huko China kwa akina macho madogo
Qing Dynasty ilifahamika pia kama Manchu Dynasty...ndio utawala wa MW sho wa kifalme huko China ambao ulidumu kuanzia mwaka 1644 hadi mwaka 1912
Baada ya kuanguka kwake ikazaliwa Jamhuri ya China
Manchu dynasty ilianzishwa na Aisin Gioro sasa wakati himaya hiyo ikijitanua tanua ndo vita vikaanza
Mnavyoona ukubwa wa China kieneo mjue kuna njemba iliipigania

Vita hii ilisababisha umwagaji damu ya watu 25,000,00
........................
Zitaendelea baadaye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…