Makapuku Forum

Leo katika Historia

1914 - Ujerumani yatangaza rasmi vita dhidi ya Urusi na hivyo kupelekea Vita kuu ya kwanza ya Dunia kuanza.
 
Leo katika Historia

1960 - Nchi ya Dahomey yajitangazia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Dahomey ilikuja kufahamika baadae kama Benin.
 
Leo katika Historia

1961 - Waziri wa Ulinzi wa Marekani anashauri kuanzishwa kwa Shirika la Ujasusi la Jeshi la Marekani na kufanya Marekani kuwa nchi ya kwanza yenye kutumia ujasusi wa Kijeshi.
 
Leo katika Historia

1976 - Nwanko Kanu anazaliwa.
Nyota wa zamani wa mpira wa miguu toka nchini Nigeria aliwahi kutamba na timu za Ajax, Arsenal na Portsmouth.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…