Makapuku Forum

PM ni nini tena anko, kuna member mpya anaitwa pm jamani? Mbona mimi ninakuwa wa mwisho kujua mammbo mazuri mazuri? na kwani huyu pm asifunguliwe, nani kamfungia nje?
Ooooooh ngoja nikukumbusheee ....

pm ni mchepuko wake yaaani partner of Mondray ambaye na wewe una vigezo vya kukaba hiyo nafasiiiii

N.B sikupigii debe pambana na hali yakoo
 
Cc shemela shunie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…