Makapuku Forum

Asante binamu....

Heshima kwakoo
 
Muziki wa Promota

Ni Jumapili na ninakutakia jumapili njema ambayo kiukweli ni mwanzo wa juma zima la siku tano za kazi kwa wachache wtu na wengi wetu huu ni mwendelezo wa kutumika na kutumika na bora kama tungekuwa tunatumikiana ila ni kutumika kwa kwenda mbele.

Leo tuna promota (unakumbuka ile eti promota anadipu--ha ha ahahahaha, wagosi bhana miss them big time) Shunie anaturusha songi la Martha Mwaipaja. Tuburudike naye

 
Binamu yangu mpenzi sio mimi kabisa hivi naanzaje me kukuchafua jamaan ni anko wako alishinda na simu yangu ndio amenipa muda si mrefu naomba tu umsamehe binamu yangu kwa niaba yangu


Aisee, nilijua tu maana mtu wa kuniharibia jina langu hauwezi kuwa wewe, lazima atakuwa ni mjomba wangu tu. Asante yaani nilitaka kuchuma dhambi za bure kabisa bila hata kulipa.

Je, na simu ya Tumosa aliishika shululu maana naye kanipiga vijembe vya fitna sana
 
Sina neno ...

Ila kumbuka ndo maana nilikwambia tumuandike kwa makapeni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…