Mama ashura anavyo
Mwenzio ajambo??Safi sana
Ahahhah kivuruge aisee kwenye ubora wake yaan binamu yeye mda wote amekaa kuharibu tuHuyo ndio binamu yako
Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele kwa haki yako uniponye
Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, nyumba yenye maboma ya kuniokoa
Ndiwe genge langu na ngome yangu, kwa ajili ya jina lako uniongoze, unichunguze
ZABURI:31:1:3
Muwe na usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu kristo
Ahahha binamu sijamaanisha ugumu huo wa nyonyo yaan unapenda vitu vigumu kama zile za kiunoni sijui unaziita nini leo manyonyo makubwa woiiiii.....mpendwa wangu ni exceptional case yaani yake ni tofauti na utofauti huo ndo naoupenda, na analijua hilo.
Halafu umejuaje hayo kuwa ni magumu? Sidiria hazina waya tena zinawekwa nondo za kusimamishia nguzo, ugumu lazima uonekane
Shemela shululu ndio mpenzi wa hayo mambo kwahiyo we viportable eenhDaah aisee nimeziona mbili juujuu ila mim hao sio mpenz kabisa nawaogopa
Acha uoga, unaweza kuwamiliki bila hata kuongea nao, tafuta picha ikate bandika room, anakuwa wako unamvua unavyotaka
Ahahhah ye hapendi hao binamuAcha uoga, unaweza kuwamiliki bila hata kuongea nao, tafuta picha ikate bandika room, anakuwa wako unamvua unavyotaka
Mcute4/Juliet Ibrahim] Alizaliwa Machi 3 mwaka 1986 huko kwa akina Michael Essien na Andre Ayew
Huyu ni binti wa Kighana anayeonekana zaidi kwenye muvi za Kinigeria
Ameigiza kwenye
4 Play,..
30 Days In Atlanta
Na filamu zingine kemkem
Ana madili kibao ya kueleweka hivyo siyo kama yule staa wa bongo anayeazima hadi nguo za ndani
.........
Ahahhah kivuruge aisee kwenye ubora wake yaan binamu yeye mda wote amekaa kuharibu tu
...mpenzi wangu ambaye ni mpendwa wangu wa nguvu. Ni wewe ndo unanifanya nipumue, yaani ukiandika machache nahisi kama unanikumbatia na kunifanya niwe kamili na ukiandika mengi najiona niko kando ya mto natizama maji yakitiririka na kuupoza moyo wangu.
Usimsikilize aunt yangu, mambo ya mama Ashura yanamuhusu mumewe. Mimi na wewe tu
Marahaabaaa naam, hapo ndipo penyewe yaan kama gaga limepata jiwe la kusuguliaShemela shululu ndio mpenzi wa hayo mambo kwahiyo we viportable eenh
Hajambo sana sijui mwenzio na we huko shemMwenzio ajambo??
Ameen binamuTunashukuru sana kwa neno mtumishi. Tunabarikiwa nawe
Ahahhah kumsalimia mke mwee kunahusiana na nini na kuquote comment ya shemela...lol! Kwa hiyo kumsalimia Tumosa nimefanya makosa? Hamna noma, kama nimekosea kutoa salamu basi mwambieni anirudishie, sitaki lawama na mtu mimi
Hongera sana shemMarahaabaaa naam, hapo ndipo penyewe yaan kama gaga limepata jiwe la kusugulia
Aisee huku napambana na hali yangu. Bora angekuwepo tungesaidiana na hali zetuHajambo sana sijui mwenzio na we huko shem