Makapuku Forum

10/Ronald"Ronnie" & Reginald"Reggie" Kray

Hawa mapacha waliishi maishi ya kijanjajanja tu
Hawa umaarufu wao umetokana na tabia yao ya utapeli,wizi, mauaji,ukabaji na kila aina ya upuuzi waliokuwa wakiufanya katika kitongoji cha East End London mahali walipokuwa wakiishi miaka ya 1950 na 1960'
Pamoja na uhalifu wao huo waliofanya kwa kificho waliweza kumiliki klabu ya usiku na hivyo kifahamiana na mastaa kibao na hivyo kupata shavu kwenye vyombo vya habari na pia kupiga assist kwa mastaa

Mwaka 1968 walitiwa mbaroni na kutupwa jela maisha
..............
 
9/Shawn & Aaron Ashmore

Walizaliwa Oktoba 7 mwaka 1979 nchini Canada
Wanapatikana zaidi kwenye kituo vha luninga cha ABC
Shawn alijipatia umaarufu kupitia X-men films wakati Aaron alionekana kwenye Warehouse 13
kisha wote wanacheza kwa pamoja muvi ya Smallville ambapo watu walishindwa kungamua kwamba ni watu wawili tofauti
..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…