Namfahamu anavyopenda mpira nae kama mimi Yanga & Man UtdYaaani anaangalia mechi saa hii ndio namie naranda randa kwenye majukwaa
Madame S
Na hiyo man u ndio team yakeNamfahamu anavyopenda mpira nae kama mimi Yanga & Man Utd
Mi ndo naingia mida hii nakuta kupo doro
......
Munich kachezea kipigoNamfahamu anavyopenda mpira nae kama mimi Yanga & Man Utd
Mi ndo naingia mida hii nakuta kupo doro
......
Ndio zetuNa hiyo man u ndio team yake
tupo tupo hivyohivyo
Madame S
:Munich kachezea kipigo
Duh!
The best man for a woman to have in bed......sorry for the strong language.
Mi wala sihangaiki hata likidoda sipati hasaraBitoz changamsha jukwaa mdau
Football ina maajabu yake aisee:Madrid nae kakungutwa 4 na Man Ciry
Yaani timu iliyotusumbua sisi kibonde wetu kajipigia ru
....
Wekeni TV mbuli
Kunywa majiJamani mbona kapuku mwenzenu nna uchovu sana wa hisia ?????? Yani napata na hasiraaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app