Binamu ndio ujionee sasa ila mpendwa wako anakupenda sana na kakukubali na kila kitu chako ulivyo...halafu huyu ni mjomba wangu eti jamani!!! Yaani anko wako anakufanyia fitna za waziwazi kabisa tena sio hata za kiwiziwizi.
Haya yamemshinda, huko unakosema anaenda atayaweza? Ni kama aweze kubeba gunia la mchele la mpunga aweze
Achaa utaniii?? Mnarukanaa ??
Kwa nini usiamini sasa muulize baba dHata siamini
Afadhali umelitambua hilo...halafu huyu ni mjomba wangu eti jamani!!! Yaani anko wako anakufanyia fitna za waziwazi kabisa tena sio hata za kiwiziwizi.
Haya yamemshinda, huko unakosema anaenda atayaweza? Ni kama aweze kubeba gunia la mchele la mpunga aweze
Mbona leo nipo na anko wako binamu na nimekutakia mema jaman....hivi unajijua kuwa wewe ni mtu unayenitakia mema sana kuzidi wote humu jukwaani? Hasa ukiwa peke yako
Hakukuwa na jam leo ndio maana mapema tu nipo ndani ya nyumba, pole na uchovu booBaby leo umewahi sana kurudi nyumbabi
Hivi umejuaa yamemshindaa nini ???...halafu huyu ni mjomba wangu eti jamani!!! Yaani anko wako anakufanyia fitna za waziwazi kabisa tena sio hata za kiwiziwizi.
Haya yamemshinda, huko unakosema anaenda atayaweza? Ni kama aweze kubeba gunia la mchele la mpunga aweze
Sema unakipatiaa kikituliaa chinniii ya mbonyeoo wakoo
Binamu ile nyimbo uliyoweka ya pili sio niliyoichagua jamaan
Ila sio cha kufutia simuTena kitambi mbonyeoooo
Sio kawaidaa yangu najuaa...ila leo napata raha sana nikichat nimekulaliaa hapaaa ata usingz sipstiiiHalaf baba d mbona leo sikuelewi mpaka muda huu unafanya nini jaman
Nilikuwepo kutwa mkuuUmetafutwa kwenye saaa 11 jioni hii
kala BAN
Paprika yuko wapi?
kala BAN
Paprika yuko wapi?
Shemela sitaki mie naonaga watu wanaendelea kuchangia kwenye ule uzi Baba D hatakiNiwekee mimi tu shemela
Atauweza?Na kweli kakuachia
ujue baba d huwa kinachosha ebu anza mazoezi
Binamu asubuhi tenaOkay, nimekupata, nitairusha asubuhi kesho. Unajua tena sisi wahenga huwa tunavutiwa ni mamiziki mazuri mazuri