shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Niliona tu, ikabidi nipite kimya tushemela nilikuona ulipita kimya kimya nimeshampa salaam zake
Niliona tu, ikabidi nipite kimya tushemela nilikuona ulipita kimya kimya nimeshampa salaam zake
Hilo nalitambua shemelaUmelitambua hilo
Tu wazima kabisa shemekiWazima wote? ?
Ndiwooo wabadilishweeeeelakini shemela tungeamua tungembadili sie tunawaomba wakina jj wabadilishwe
Tena kitambi mbonyeooooHapo unanisema mie shemela na baba d mana tumekutana wote vibonge jamaanbaba d ana kitambi
Umetafutwa kwenye saaa 11 jioni hiiLeo sijatafutwa mapema sana nipo nyumbani
UchonganishiiiBaba D anampango wa kuwasambaratisha
Baba D nimecheka sana aisee me na we si mwili mmoja
Binamu ile nyimbo uliyoweka ya pili sio niliyoichagua jamaanBaadaye unikumbushe huu msemo ninaoupenda maana nina misemo mingi hasa siku za Ijumaa ninapokaa kwa raha nagonga Safari
Anaogopa kuachwa cuzoo kaamua awahi tuLeo naona shemeji yako kawahi kurudi nyumbani![]()
MZee wa ngedereeWabadilisheee nifee
Na kweli kakuachianyagei kaniachia uparoko
Wanaweza wakabadilisha baba dWabadilisheee nifee
Mimi nitaishia kukupatia matunda ya kawaida tu ndio ukomo wangu ila huyo Mr wako yeye ndiye anaruhusiwa kukupatia ulichonyimwa ndio maana before nilikupatiaNilielewa nilivoelewa mimi na akili yangu mbili kasoro sasa sijajua wewe ulimaanishaje rafiki.. Naomba Nielekeze uvomaanisha wewe
Mahondaw wa Smart911
cause lile jingine sihusiki nalo
Nilikuona nikasema leo shemela nilipo yupoNiliona tu, ikabidi nipite kimya tu
Hajatekwaa na kafuliaaa ndo maana kakukimbukaaLeo naona shemeji yako kawahi kurudi nyumbani![]()
Weka linkMie kibonge tena kibonge haswa
Tena kitambi mbonyeoooo



ujue baba d huwa kinachosha ebu anza mazoezi