Binamu obe leo utanisamehe tu binamu yako mie utafanyaje ndio binamu yako tena leo nachagua nyimbo mbili
Naomba nyimbo nyingine inaitwa libebe ya beka flavour
Nakupenda binamu yangu jaman
Shemela wa mimi apa za jioniBinamu yangu obe jaman popote ulipo naomba nyimbo ya ben pol ft darassa tatu si unajua vile nakupenda binamu
7/Roger LaFontant
Alizaliwa mwaka 1931 na kufariki dunia 1991 akiwa na miaka 60
Huyu alikuwa kiongozi wa kijeshi huko Haiti ambapo mwaka 1991 alikuwa Rais kwa masaa 24 tu
Rais alijiuzulu hivyo Katiba ya nchi hiyo kumpa madaraka Jaji Mkuu Estha Pascal Trouillot ambaye aliitisha Uchaguzi wa kidemokrasia
Lakini bwana mkubwa Fountant akatumia fursa hiyo kufanya mapinduzi na kujitangazia Urais
Lakini ghafla bin vuuuu wajanja zaidi yake wajampindua ndani ya masaa 24 tu yaani wakati anaamka tu huko Ikulu hata swimming pool hakugusa
..............
Hbr ya uzima mke mweeeBinamu yangu obe jaman popote ulipo naomba nyimbo ya ben pol ft darassa tatu si unajua vile nakupenda binamu
Sisi pia tunakumiss jimena... QUIGLEY uko wapi?Nimepita kuwasalimu tu...... Nawamiss
Ahahha shemela acha uchochezi jaman binamu asije akasusa burekiroho safi au Kiroho chafu
Salama shemela wangu za wewe apoShemela wa mimi apa za jioni
Salama mke mwee jaman unaendeleaje na wakina jj nao wanaendeleaje mke mweeHbr ya uzima mke mweee
Binamu obe una ule msemo wako ukimalizia kuandika sijausikia siku nyingi nimeumiss ule unahusu bundle sijui samahani kwa kukumalizia bundle lakoMuziki: Kwanini Isiwe Mbili Wakati Una Moja
Ni Jumatano leo na inaishiria, naamini hakuna ubaya nikijiaminisha kuwa umekuwa na siku nzuri sana leo ambayo ni mwangwi wa namna siku ya kesho itakavyokuwa. Kama haikuwa siku yako, worry not, kesho ni siku nyingine tena na kama ada, jua litawaka tena. usisubiri sana though.
Hakuna ubishi kuwa wote, well nisifanye sweeping generalization maana huchelewi kutaka datum ambayo kiukweli haya ni mawazo yangu tu na nimejiamisha tokana na kuyakabili mazingira. Kuwa na wivu wa maendeleo si kitu kibaya, kukinzana kwa ajili ya kurahisisha maisha si jambo baya, kutofautiana kwa ajili ya kujenga umoja si jambo la kukemewa. Kila mmoja ana mawazo sahihi kwa wakati sahihi, na leo nakukumbusha tu kuwa kuridhika si tabia ya mwanadamu. Tufanye tunayofanya kwa ajili ya kujiletea maendeleo na kurahisisha maisha. Popote ulipo hongera sana kapuku kwa kile unachofanya.
Muziki sasa, wakati wanaanza walikuwa watatu Nhlanhla Nciza, Theo Kgosinkwe na Tebogo Madingoane baadaye Tebogo mwaka 2004. Wanaitwa Mafikizolo, na pamoja na kifo cha Tebogo bado wameendelea kufanya vizuri katika muziki wakichanganya mitindo ya kisasa na ile ya jadi na kuwafanya kuwa ni kundi la kipekee ambalo maonesho yake huhudhuriwa na wapenda burudani wengi.
Burudika Kapuku muheshimika na kumbuka, wewe ni mtaalamu unayelifanya Jukwaa hili liwe la kipekee.
Baadaye tutakuwa na chaguo la Wapendanao na leo mtaasisi mwenzangu kajaa kwa chaguo lake
Binamu obe jaman asante sanaMuziki wa Wadhamini
Naamini ukimya uliotamalaki humu kwa makelele haumaanishi mmelala bali mnavuta pumzi, kitu ambacho ni muhimu sana.
Kapuku nakushukuru sana na umuhimu wako humu, yes wewe unayesoma hapa hauelezeki, sina kipimio cha kupima umaarufu wako. Tumeamka asubuhi kwa magazeti na shululu , BBC na UF chini ya lianko langu lee empire , na tukashukuru kwa sala na Shunie . Nani hakuipitia historia ya leo nimwambie Jimena atukumbushe na kisha tukapata 10 kubwa na mtaalamu mwenyewe Bitoz , asanteni sana wadau. Na sisahau mambo ya michezo chini ya mtaasisi mwenzangu Nyagei
Sitaki kuharibu mchango wa mdhamini wetu wa usiku huu Shunie ambaye hatajali endapo nitawakumbuka wafuatao maana ninawakumbuka sana na wakiburudika na hizi nyimbo ni furaha kwangu, uko wapi husna muba , Arusha baridi limekufunika Clkey , mama wawili Tumosa unajua unavyonifanya kujisikia amani hapa unaniunga mkono kwenye harakari zangu, simsahau Mondray na Transcend mapumzikoni. Uko wapi Mkushi wa kusi , Mndali ndanyelakakomu ,mzeewakungoa , Madame S , koncho77 , dingimtoto , dumejeuri demi usipotee sana, Linamo , BlessedHope umemisika sana.
Mdhamini ambaye ambaye ni aunt yangu hatajali kuwataja wadau hawa hapa. Nisimkasirishe mdhamini kwa blah blah zangu akaninyima safari yangu muhimu.
na hapa anakuja Darasa na B. Pol
tuwe na usiku mwema makapuku wote
Asantee binamuChaguo La Wapendanao
Mtaasisi Nyagei chaguo lako la wimbo wa The Bangles kwenda kwa Linamo halijaachwa, na kiukweli umenipa kitu maana kuna wimbo huwa ninaupenda ila leo umenifanya nijue nani kauimba. The bangles wanapiga Pop music na nitaweka nyimbo zao mbili kwa ajili ya huyu Linamo unayevutiwa na kumpenda sana
Na huu ndiyo naupenda zaidi
Nmeitika wito obe,shukrani kwa waliochagua burudani,mkiwa mnaenda kule mahali nko tayari kuwacndkiza hata yangeyange ntavaa kwa ajili ykoMuziki wa Wadhamini
Naamini ukimya uliotamalaki humu kwa makelele haumaanishi mmelala bali mnavuta pumzi, kitu ambacho ni muhimu sana.
Kapuku nakushukuru sana na umuhimu wako humu, yes wewe unayesoma hapa hauelezeki, sina kipimio cha kupima umaarufu wako. Tumeamka asubuhi kwa magazeti na shululu , BBC na UF chini ya lianko langu lee empire , na tukashukuru kwa sala na Shunie . Nani hakuipitia historia ya leo nimwambie Jimena atukumbushe na kisha tukapata 10 kubwa na mtaalamu mwenyewe Bitoz , asanteni sana wadau. Na sisahau mambo ya michezo chini ya mtaasisi mwenzangu Nyagei
Sitaki kuharibu mchango wa mdhamini wetu wa usiku huu Shunie ambaye hatajali endapo nitawakumbuka wafuatao maana ninawakumbuka sana na wakiburudika na hizi nyimbo ni furaha kwangu, uko wapi husna muba , Arusha baridi limekufunika Clkey , mama wawili Tumosa unajua unavyonifanya kujisikia amani hapa unaniunga mkono kwenye harakari zangu, simsahau Mondray na Transcend mapumzikoni. Uko wapi Mkushi wa kusi , Mndali ndanyelakakomu ,mzeewakungoa , Madame S , koncho77 , dingimtoto , dumejeuri demi usipotee sana, Linamo , BlessedHope umemisika sana.
Mdhamini ambaye ambaye ni aunt yangu hatajali kuwataja wadau hawa hapa. Nisimkasirishe mdhamini kwa blah blah zangu akaninyima safari yangu muhimu.
na hapa anakuja Darasa na B. Pol
tuwe na usiku mwema makapuku wote
Hatujambo mke mweee cjui D na baba akeSalama mke mwee jaman unaendeleaje na wakina jj nao wanaendeleaje mke mwee
MamyBinamu obe jaman asante sanaila nyimbo ya pili sio hiyo ya muziki jamaninaitwa [HASHTAG]#tatu[/HASHTAG] kaimba ben pol kamshirikisha darasa sio darasa kamshirikisha ben pol