Makapuku Forum

Leo katika Historia

1961 - John F. Kennedy Rais wa 35 wa Marekani anatoa hotuba ya kutoa msisitizo kuwa mashambulizi iwapo Berlin itashambuliwa basi wao wanaamini Nato nzima itakuwa imeshambuliwa.
John F. Kennedy alikuja kuuwawa November 22 Mwaka 1963
 
Leo katika Historia

2010 - Wikileaks inatoa taarifa za siri hadharani kuhusu Marekani kuivamia vita ya Iraq. Moja kati ya siri muhimu kuwahi kuvujishwa nchini Marekani.
 
Niite Jimena Jimenes na mpaka hapo basi nakuwa sina la ziada kutoka katika meza ya historia..... Muwe na siku njema na furaha tele. Kwa udhamini mnono kabisa wa kauli za mkuu
Adios Amigo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…