Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki wa Kipekee

Unataka niseme nini kila nikisoma au hata kujihisi tu kuwa ninasoma chochote anachoandika husna muba , nampenda hata kama kuniwekea dhamana ni ngumu, analijua hili. Ni smart, anavutia, mchangamfu (hivi kwanini isiwe mchangahai!!!) na ni mtulivu. Anajijua anapoongea na mimi ninakuwa kama niko paradiso na ukimywa wake unanifanya nijihisi vibaya.
Leo kachagua wimbo nami naufanya wimbo wa kipekee.
Hivi unalikumbuka gitaa la Pauline Zongo, utalisikia humu kwa mbali



Asante Husna kwa post ya Che G
 
Nikasema moyoni mwangu, Mungu atawahukumu wenye haki na wasio na haki kwa kuwa kuna wakati huko kwa kila kusudi na kwa kila kazi

Nikasema moyoni ni kwa sababu ya wanadamu ili Mungu awajaribu nao waone ya kuwa wao wenyewe wafanana na wanyama

Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama jambo moja lawatukia anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu naam wote wanayo pumzi moja wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama kwa maana yote ni ubatili

Wote huendea mahali pamoja wote hutoka katika mavumbi na hata mavumbini hurudi tena
MUHUBIRI 3:17:20

Niwatakie usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu
Ameeeeeeiiiiiiniiiii
 
Nikasema moyoni mwangu, Mungu atawahukumu wenye haki na wasio na haki kwa kuwa kuna wakati huko kwa kila kusudi na kwa kila kazi

Nikasema moyoni ni kwa sababu ya wanadamu ili Mungu awajaribu nao waone ya kuwa wao wenyewe wafanana na wanyama

Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama jambo moja lawatukia anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu naam wote wanayo pumzi moja wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama kwa maana yote ni ubatili

Wote huendea mahali pamoja wote hutoka katika mavumbi na hata mavumbini hurudi tena
MUHUBIRI 3:17:20

Niwatakie usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu
Amin
 
Muziki wa Kipekee

Unataka niseme nini kila nikisoma au hata kujihisi tu kuwa ninasoma chochote anachoandika husna muba , nampenda hata kama kuniwekea dhamana ni ngumu, analijua hili. Ni smart, anavutia, mchangamfu (hivi kwanini isiwe mchangahai!!!) na ni mtulivu. Anajijua anapoongea na mimi ninakuwa kama niko paradiso na ukimywa wake unanifanya nijihisi vibaya.
Leo kachagua wimbo nami naufanya wimbo wa kipekee.
Hivi unalikumbuka gitaa la Pauline Zongo, utalisikia humu kwa mbali



Asante Husna kwa post ya Che G

Good asante my love


Vyenye unajua vile nakupendaga





 

Similar Discussions

Back
Top Bottom