Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Sema hajatuliaa huyu cousin wako ...kamapenda michepukoo aka ...wee acha binamu wangu namuonea huruma na moyo wake ulivo na matege ...
Nikinywa sumu na madafu nikafa ajili yako utajua cha kujibi kwa mama Ray..
huu ndio balaa sasa! maana unachezea mangumi ya kichwa.. lazima uwehuke7/BoxingHapa tunaongelea ndondi za kawaida pamoja na n ickboxing
Juzijuzi tu zimepigwa ngumi za kufa mtu kati ya Anthony Joshua na Vladimir Klitschko's ambapo tulishuhudia ngumi nzito kama mawe
Pia sio muda mrefu mdogo wa Matumla alizimia uwanjani baada ya kupigwa ngumu ya kichwani
Hapa wengi hupata madhara ya muda mrefu au mfupi
Mfano inasadikiwa Muhammad Alli baada ya kustaafu ngumi alipata ugonjwa uliotokana na madhara ya kupigana ndondi ambazo ziliathiri sehemu ya ubongo
Ila hawa jamaa huvuta mkwanja mrefu si mnamkumbuka yule mswahili Floyd Mayweather Jr :......
Michezo tote ni hatarihuu ndio balaa sasa! maana unachezea mangumi ya kichwa.. lazima uwehuke
Watazamaji wanafaidi kuona vikyupi3/Cheer leading
Huu mchezo wa sarakasi za angani/kubebana huchezwa zaidi na wanawake
Na wenyewe unatajwa km miongoni mwa michezo hatari pindi inapotokea la kutokana mfano wanapokesea kukurusha au kukudaka utaweza kuanguka vibaya na kujeruhiwa au pengine kupoteza maisha
....... :........
Wachaaa machepeleee sass
Asee tulia anko mi niko cool hakuna mfano na mpendwa wangu anajua hilo
Ivyoooo yaani mworooooroooo kabisaa
Unayofanya unafikir yanampendeza ??Leo mpendwa unatembeza like tu
Say something for me plz
.Leo mpendwa unatembeza like tu
Say something for me plz
HiHi guys,
post using my macbook air using jamiiforums app
Nishaacha mbonaWachaaa machepeleee sass
Okay, good to hear
Utammis sanaaMpendwaaaa I real miss you
Wee vp.
post using my macbook air using jamiiforums app
Cool, what's new?Wee vp