Makapuku Forum

hiyo midamuu
 
5/Football
Hapa tunaongelea mpira wa miguu wa Kimarekani(American football) pamoja na wa kawaida
Hapa watu hugonfana na kutumia vibaya au kuchezea na rafu za makusudi Hapa Eduardo Da Silva akichezea kwanja <br />Haps Djibril Cisse akiwa kavunjika vibaya
Wengine hudondoka uwanjani na kufariki kama Marc Vivien Foe mmoja kati kiungo box to box bora zaidi kuwahi kutokea ambaye hakuwa na mbwembwe km za Pogba yaani nywele fupi kipilipili tu
: ........
 
 
4/Gymnastic
Huu nao ni hatari pindi mtu anapokesea mahesabu huweza kuvunjika vibaya
Pia wakati wa kuruka juu unaweza kuzidisha kipimo au kupunguza sasa utajikuta unaangukia sehemu isiyo na godoro na hapo lazima uvunjike au pengine kufa
Pia kuna ajali za nguo kuchanika hivyo kujikuta unakaa uchi mbele za watu/kamera

...... .........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…