Makapuku Forum

Makapuku Forum

2c800a83bfbfa2cdc59bc3e038cf5182.jpg
d43f3527a6063ca34e21f4a3b6faf6b0.jpg
a333e722604615c03105d55380563a82.jpg
 
Kuhamia dodoma kwa serikali ni ndoto isiyoonekana kutimia ni ngonjera tu toka awamu ya pili mpaka ya jk na hata. Hii ninaona nayo itamaliza kutawala bila kuhamisha kazi za serikali dodoma ni jambo la kusubiri na kuona
Wafanyakazi juuuuuuuu ila naona kama tuko chini sana
Wafanyakazi day is today
 
Kuhamia dodoma kwa serikali ni ndoto isiyoonekana kutimia ni ngonjera tu toka awamu ya pili mpaka ya jk na hata. Hii ninaona nayo itamaliza kutawala bila kuhamisha kazi za serikali dodoma ni jambo la kusubiri na kuona
Wafanyakazi juuuuuuuu ila naona kama tuko chini sana
Wafanyakazi day is today
Serikali kuhamia Dodoma itaendelea kuwa ndoto ya mchana kwakuwa serikali bado haijaweka mazingira ya wafanyakazi kuhamia huko.
Watu wengi wanapenda kukaa Dar kwakuwa kuna accessibility ya vitu vingi.
Kuhamia Dodoma itawezekana pale tu mazingira ya kufanyia kazi dodoma yatakuwa mazuri kama ya Dar es salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom