Makapuku Forum



Asante anko, nimecheka sana kwa hii clip. Yaani unaweza kudondosha glass ya mvinyo hivi hivi
 
Udhamini

Tupate tangazo la wadhamini wetu waliowekana moyoni wanatamani wasijeachana ikwa orugambo
Shunie na anko wangu lee empire bila kumsahau muongea kizungu shedede

Binamu yangu asante sanaaaaaa
Nimecheka sana kwa shedede muongea kizungu [emoji23][emoji23][emoji23]


Baba D hii nyimbo ikufikie popote ulipo hunnie [emoji8]
 
Aunt yangu mwenyewe, wajua navyofurahia kukuona hapa na naamini unafurahi na mimi kwa kila hali. Tangu niko kwenye PhD (mjomba sitakusahau kwa kunidhamini masomo huku ukimwambia leccha anisapulishe- joke)

Na si umeona nafanya masterPhD
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu acha nilale jamaan mbavu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…