Hakumbuki unaitwajeNilipotea kidogo, si unajua tena mambo ya mtandao. Hivi Sakayo alifanikiwa kulipata jina la wimbo w komandoo
Asante binamu ....
Nashukuru kwa yote u know what I mean
Hii komesha kwa watu kama binamu mpenda michepuko japo yake ni ya uhakika yaan kula kunywa na kulishwa ....kapuku thamani yako ni kubwa sana unapotenga mda wako na kushinda hapa tukishare mawili matatu yote ya kuelimishana na kutaniana ....
Kapuku ni kiboko panaweza kukufanya ata usahau kula hasa pale jukwaa linapochangamka ni ukweli ulio wazi panatusaidia sana make stress zote za siku na familia zikiwemo tunazisahau tukiwa humu.....
Kama kawaida baada ya bhinamu kunifundisha kuapuloooodiii video hapa za youtube mwendo wa kuwaleteaa cheusi wanguuu. ....
Don't mess with kansiime. ...enjoy it....
Kweli shemelaMmh shemela
Na wala hachungwi kama mbuziMwanaume hafugwi shemela wangu
Cc shemela shunieUdhamini
Tupate tangazo la wadhamini wetu waliowekana moyoni wanatamani wasijeachana ikwa orugambo
Shunie na anko wangu lee empire bila kumsahau muongea kizungu shedede
Umeona eenh shemela unamuacha tu akiamua kutulia atatulia kikubwa umakini tuNa wala hachungwi kama mbuzi
Umeona eenh shemela unamuacha tu akiamua kutulia atatulia kikubwa umakini tu
Binamu yangu asante sanaaaaaaUdhamini
Tupate tangazo la wadhamini wetu waliowekana moyoni wanatamani wasijeachana ikwa orugambo
Shunie na anko wangu lee empire bila kumsahau muongea kizungu shedede
AiseeeI kno anko, tuko pamoja sana. Ila sasa na wewe ndo usiniangushe maana kipindi cha pili hiki upepo uko upande wangu kabisa ni wewe tu na kipyenga.
Usione nachezewa rafu unapeta tu kama soka la uruguay
Nimeona binamu jamaan umfikie baba d wangu popote alipoUmeona nimekutupia Orugambo lwako
Kupatwa kwa binamu siamini ujueUsiku mnono wadau na kwa kusindikiza usiku huu nataka nikuambie kitu usikie Kapuku mheshimika, kitu chenyewe kinamuhusu member mwenzetu humu ambaye mimi nimemdondokea kiukweli bila masharti.
Nadedicate wimbo huu kwako husna muba
Kupatwa kwa binamu siamini ujue
Aunt yangu mwenyewe, wajua navyofurahia kukuona hapa na naamini unafurahi na mimi kwa kila hali. Tangu niko kwenye PhD (mjomba sitakusahau kwa kunidhamini masomo huku ukimwambia leccha anisapulishe- joke)
Na si umeona nafanya masterPhD
Ndio uamini sasaKupatwa kwa binamu siamini ujue
which language is this?