Mkeo ni aunt yangu mimi, mishkaki atajinunulia, maji makubwa ni juu yangu. Namunulia ile Uhai lita 5 baridi akinywa maji yake ya gold anaoga kabisaMke wangu ndo unamdanganya na mishikakiii kweliii..mmke ya pedeshee ??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa binamu mpenzi wa husna
We muacheShemela jamaan umeanza ujue
Samahani shemela nilikuwa nimesahauNimeokoka jamaan
Karibu Mariammnikaribishe humu na mimi jamanii...
Sitaki ujueUmekandamiza kabisa
Sawa npo nabembeleza watoto walaleAsante, ndio nakaribia hivi
Vibaya hivyo shemela ujueHakuna safari shemela
Milele AminaMarahaba
D au b?? Na kwanini muweke abbreviation hapo kwanini msiweke full mf..diana au baraka?Mtoto ni mmoja tu
Afadhali aisee[emoji106] [emoji106]
post using my macbook air pro using jamiiforums
Hivi kwa nini unakuwa hivyoSi nilijichanganya wakaniambia eti sina udhu, nikawaambia nina udhuru nikajipigia rakaa zangu mbili nikasepa kumfuata Ashura, si unakumbuka mjomba
Angalizo: Hizi ni story za miaka saba au mitano iliyopita, sasa hivi nimebadilika ila anko wangu hajabadilika
Anawahi kuhesabu [emoji3] [emoji3]Baba D utajikwaaa ujue ebu fanya urudi jamaan ujue nakupenda
China kuna mito mingii3/Yangtze RiverNdio mto kinara barani Asia
Unapatikana nchini China na kwa waliosoma Jiografia nafikiri mnaukumbuka linapokuja suala la kilimo na kufua umeme achilia mbali uvuvi na usafirishaji
Huko China licha ya kuwaletea wananchi neema ila huu mtu huwatesa kwa msfuriko na wanajuta kuutambua
Una urefu wa Km 6300
.......
HujamboSijaelewa rudiaaa
Sawa ni mda kidogo mbona sasa ulipomuona facebook ulimtumia request ....na unakumbuka alivokukubaliaa ulisema nini ???Si nilijichanganya wakaniambia eti sina udhu, nikawaambia nina udhuru nikajipigia rakaa zangu mbili nikasepa kumfuata Ashura, si unakumbuka mjomba
Angalizo: Hizi ni story za miaka saba au mitano iliyopita, sasa hivi nimebadilika ila anko wangu hajabadilika
[emoji101] [emoji101]Yupi sasa huyo mpenzi wako
Ni Davie hope umefurahi huko ulipoD au b?? Na kwanini muweke abbreviation hapo kwanini msiweke full mf..diana au baraka?
post using my macbook air using jamiiforums app
Mizimu yake labda[emoji4] [emoji4] king'ang'anizi balaa