Makapuku Forum

Kwa wasiofahamu wanyama kama mbwa wana uwezo mkubwa wa kung'amua dalili za tetemeko sababu wanasikia mawimbi/mtetemo kutoka umbali mrefu ardhini

Hata Kagera ilikuwa hivyo ila kutokana na "ushamba" wa wabongo wakawadharau mbwa na kuwaona vichaa jinsi walivyokuwa wanakimbiakimbia na kubweka matokeo yake wanayajua wenyewe
End
.....
..........
 
Hilo ni kweliii ...hawa viumbe wana uwezo mkubwa wa kudect kinachotoka ndani zaidiiii hasa zile wave muhimu na hatari zinazosababisha haya majanga....viumbe wengi mfano panya ...mbwa ...nyoka ..centipede wanauwezo mkubwa wa kuditect zile wave muhimu hasa ni P wave nikimanisha primary wave ambazo nadra sana binadamu wa kawaida kuziditect ....make hizo ndo zinatoka mapema kabla ya zile S wave ...hizi sisi tukizigundua bhasi hao viumbe yawezekana ishapita ata wiki washagundua kitu hikiii...

Ila mechanism ya ni namna gani wanaweza kugundua still ni kizungumkutiiii....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…