Makapuku Forum

Labda sala ya toba utapata, sorry hadi ulete chet cha kuzaliwa
Natamani ningezaliwa enzi hizi ili niwe nacho inabidi niende kanisani na nijieleze kwa lawyer. Subiri nikipata pesa za kumlipa lawyer nitapost. Nisamehe bure ndugu yangu na usihangaike na watu kama mimi makapuku uchwara tusio na mbele wala nyuma. Never argue with a fool.
 
Ni kweli nashukuru na naomba msamaha kwa yale niliyoyasema una haki kusema ulosema. Natubu kwa yale niliyosema.
Hahaha niah uwe UNALIKE kwanza kabla huja quote ndio torati ya hapa mwaya..penda sana wew natamani tupate mpambano
 
Mchungaji!
Nisamehe bure mkuu.
Sijategemea kwamba utakwazika.
Hivi leo sisomeki wakuu! Mimi huwa nabadili scripts za mchezo plz mnisome niko poa tu.
Jf addicted ctumii kilevi, sio mpenzi wa mpira so hapa ndo kama kijiwe wakuu
 
Wakuu kabla ya kulaa naomba nitoe angalizo moja....

Nimekuwa mtu wa jokes sana hapa Ukapukuni kuna watu kama jambilo na wengine nimewakosea sababu ya utani wangu.
Please naomba tusameheane sisi sote ni wa baba mmoja hakuna haja ya kgombana.

Nawapenda wote.
Tutaonana mungu akipenda.

Good night.
 
Ahaaa kumbe mwoga?
Nilipenda ulivyoanza nashangaa unanyoosha mikono! Acha woga bhana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…