Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 15, 2017 #240,181 lee empire said: Wanachezaa wapiii Click to expand... Kirumba
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Jul 15, 2017 #240,182 lee empire said: na wafungweeee Click to expand... Ndo wamechagua kujifichia huko .....
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,183 lee empire said: Mimi sasa ....kuna ile sasa Thamani ya wokovu wangu amayejua ni mwokozi wangu .... Thamani ya maisha yangu anayejua ni Muumba .... Nikisema nimeokoka mbona hamunielewiii.... Click to expand... Ngoja nikusimulie habari ya kijana mmoja kijana mtanashati mpole kipenzi cha wengi anazo sifa nyingi lakini kuu kwake ni upendo Siku moja alikutana na mwanamke msamalia kisimani kijana kamuomba maji mwanamke nae kamuuliza tangu lini wayahudi na wasamalia tukashikama Kijana akamwambia ungejua me ni maji yaliyo hai ungekuja kwangu unywe maji ili usiwe na kiu tena Mimi aliniona nilivyokuwa nimechoka nimechakaa kijana kanipenda kanichukua kanitengeneza Thamani ya wokovu wangu anayejua ni Mwokozi wangu Daah Baba D nampenda huyu dada atanifanya niokoke aisee kwa nyimbo zake
lee empire said: Mimi sasa ....kuna ile sasa Thamani ya wokovu wangu amayejua ni mwokozi wangu .... Thamani ya maisha yangu anayejua ni Muumba .... Nikisema nimeokoka mbona hamunielewiii.... Click to expand... Ngoja nikusimulie habari ya kijana mmoja kijana mtanashati mpole kipenzi cha wengi anazo sifa nyingi lakini kuu kwake ni upendo Siku moja alikutana na mwanamke msamalia kisimani kijana kamuomba maji mwanamke nae kamuuliza tangu lini wayahudi na wasamalia tukashikama Kijana akamwambia ungejua me ni maji yaliyo hai ungekuja kwangu unywe maji ili usiwe na kiu tena Mimi aliniona nilivyokuwa nimechoka nimechakaa kijana kanipenda kanichukua kanitengeneza Thamani ya wokovu wangu anayejua ni Mwokozi wangu Daah Baba D nampenda huyu dada atanifanya niokoke aisee kwa nyimbo zake
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,184 Tumosa said: Ciogopi mipasho mm Click to expand... Nakuaminia mke mwee
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,186 Tumosa said: Mdogo wa mama Ashura Click to expand... Na kweli
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,188 lee empire said: Mpm shunie akusaidie ndo mtaalamu wa azam Click to expand... Mie naangalia marudio itv ya michezo ya kiswahili sijui chochote
lee empire said: Mpm shunie akusaidie ndo mtaalamu wa azam Click to expand... Mie naangalia marudio itv ya michezo ya kiswahili sijui chochote
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,189 lee empire said: Wewe apoooo kiguu na njia mpaka kigamboninooo Click to expand... sivaii
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,191 Tumosa said: Sawa Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,192 lee empire said: Ngoja mama D atatupelekaa Click to expand... Akiweza kutoa atakuja
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Jul 15, 2017 #240,193 Jimena said: Kama vipi watapike hamia DSTV Click to expand... Nategemea ufugaji wa bata Simudu mambo ya USD ....
Jimena said: Kama vipi watapike hamia DSTV Click to expand... Nategemea ufugaji wa bata Simudu mambo ya USD ....
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Jul 15, 2017 #240,194 Shunie said: Mie naangalia marudio itv ya michezo ya kiswahili sijui chochote Click to expand... We mgeni huko
Shunie said: Mie naangalia marudio itv ya michezo ya kiswahili sijui chochote Click to expand... We mgeni huko
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Jul 15, 2017 #240,199 Jimena said: We mgeni huko Click to expand... Hapana sihangaiki kuwaangalia hao taifa stars hamna chochote kwakweli
Jimena said: We mgeni huko Click to expand... Hapana sihangaiki kuwaangalia hao taifa stars hamna chochote kwakweli
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Jul 15, 2017 #240,200 Mndali ndanyelakakomu said: Yaani nimekata tiketi cha ajabu asubuhi nikafaulishwa Click to expand... Shabiby na kimbinyiko ndio gari za uhakika dodoma to mbeya
Mndali ndanyelakakomu said: Yaani nimekata tiketi cha ajabu asubuhi nikafaulishwa Click to expand... Shabiby na kimbinyiko ndio gari za uhakika dodoma to mbeya