Makapuku Forum

Leo katika Historia

1954 - Mario Kempes anazaliwa.
Ni mwanasoka mahiri toka Nchini Argentina.

Alikuwa ni straika jembe...kama kawaida ya vimo vifupi vya wachezaji wa Argentina jamaa alikuwa na futi 6 kamili kwao ni mrefu
Ni baba wa watoto watano
Katika mechi ya fainali WC 1978 alifunga goli mbili na kubeba ndo...pia akaondoka na Golden Boot
......
 
Ahsante
 
Leo katika Historia

1979 - Alexander Frei anazaliwa.
Ni mwanasoka toka nchini Uswizi.
Kazaliwa Basel na FC Basel ndo klabu yake iliyomtoa na anatukuzwa balaa
Kachezea pia Rennes na Borrusia Dortmund
Ndiye mfungaji wa muda wote wa timu ya taifa ya Uswis akiwa na goli 42 katika mechi 84 jamaa ana ratio ya 1:2
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…