Leo katika Historia
1954 - Mario Kempes anazaliwa.
Ni mwanasoka mahiri toka Nchini Argentina.
Yupo hai bado?
Alikuwa ni straika jembe...kama kawaida ya vimo vifupi vya wachezaji wa Argentina jamaa alikuwa na futi 6 kamili kwao ni mrefu
Ni baba wa watoto watano
Katika mechi ya fainali WC 1978 alifunga goli mbili na kubeba ndo...pia akaondoka na Golden Boot
......
Kama ninavyokufuga weweNzuri mfugaji
Ukawakimbiza hadi ukawapatakufuga sio mchezo
Jamaniiii....Hahahaa
Tuliza moyo ! Tuliza moyo..!
Hutaniwi?
Dooh!Yeah !!
Leo kagonga 63
......
NakupendaJamaniiii....
Unajua Utaniua na presha love
Nakupenda pia mume wanguNakupenda
Sijastaafu mbona niliomba ruhusa madam nimalizie matatizo binafsi na ukaniruhusu??!!Mlinzi wangu.... Naona umestaafuu kwa hiari
AhsanteTOP TEN
Unampenda mwanamuziki gani?
Mimi kwa bongo namkubali Albert Mangwea a.k.a Ngwair mzee waDakika 3 na kama vipi msikilize kwenye Mitungi,blant,mikasi naamini jamaa ni zaidi ya Kiba na Diamond ila hakuwa na nidhamu ya kukitumia kipaji alochojaaliwa na Mwenyezi Mungu mwisho akafa akiwa teja na maskini
Kwa mamtoni huniambii kitu kwa 20ac Umar Shakur huyu wimbo ambao umenigusa ni Dear Mama wengine ni Michael Jackson mzee wa Thriller bila kumsahau mfalme wangu wa muda woteBob Marley na song lake la I'll shot a shariff....twende sasa
.
Nakuletea wakali kumi waliotikisa dunia
Ni kalist ambalo nimeokotezaokoteza hivyo sitaweza kumridhisha kila mtu
Karibuni
.......
Leo katika Historia
1979 - Alexander Frei anazaliwa.
Ni mwanasoka toka nchini Uswizi.
Ina maana hujamalizaSijastaafu mbona niliomba ruhusa madam nimalizie matatizo binafsi na ukaniruhusu??!!
Kesho ndio reporting dayIna maana hujamaliza
MmmmhKesho ndio reporting day
Yuko vizuri sanaKazaliwa Basel na FC Basel ndo klabu yake iliyomtoa na anatukuzwa balaa
Kachezea pia Rennes na Borrusia Dortmund
Ndiye mfungaji wa muda wote wa timu ya taifa ya Uswis akiwa na goli 42 katika mechi 84 jamaa ana ratio ya 1:2
......
Iko njuriSijambo mieee... Habari
Leo katika Historia
1991 - Danilo anazaliwa.
Ni beki wa kulia wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil.
Hapo umeitikia au?Mmmmh
HayaIko njuri