Makapuku Forum

In summary. ...

Aliyekuwa rais wa Brazil, Luiz Ignacio Lula da Silva, amehukumiwa kifungo cha miaka tisa kwa mashtaka ya ufisadi.

Leo klabu ya soka ya Everton kutoka Uingereza inacheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na Timu ya Gor Mahia kutoka Nchini kenya

Mashindano ya riadha yanaendelea nchini Nairobi, Nchini Kenya, mamia ya vijana hufanya mazoezi kila siku ili kupata nafasi ya kuiwakilisha nchi.

Malkia wa rhumba duniani Mbilia Bel alikonga nyoyo za washabiki wake alipozuru Kenya wiki iliyopita , na kuwatumbuiza jijini Nairobi na Kisumu..
 
Asante kwa neno la uzima, mama mchungaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…