Makapuku Forum

9/USA
Marekani pia hachomoki
Pamoja na ngebe na kujiona wao ndo kila kitu duniani ila jamaa nao wanakanyaga tu miwaya kama Waafrika
Donald Trump anaongoza taifa lenye watu zaidi ya 320,000,000 siyo kazi ndogo
Weusi ndio walioathirika zaidi mfano Arthur Ashe ambaye alikuwa ni staa mweusi wa tenisi ni miongoni mwa waathirika wa mwanzo mwanzo ila siku hizi mastaa kibao tu wana ngoma
Kama mnavyojua watu weusi bangi,pombe,ngono ndo vitu tunavyovimudu
Wamarekani takribani 1,200,000 wana VVU
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…