Makapuku Forum

Pole saaana
Usijali Mungu ni muaminifu utafanikiwa.... Usikate tamaa kabisaa, jitume, sali na mwamini Mungu pekee... Binadamu watadhihaki, watakucheka na kukukejeli lakini Mungu kamwe hatokuacha uaibike kamwe...
Nashukuru dada sakayo kwa kunifariji

ila mwambie dada shunie haya maisha tu kuna kupata na kukosa aache dharau.
 
Nashukuru dada sakayo kwa kunifariji

ila mwambie dada shunie haya maisha tu kuna kupata na kukosa aache dharau.
Usijali mdogo wangu

Kwenye maisha kila mtu ana mtazamo wake ujue... Na huwezi mlaumu mtu maana, msamehe ili milango yako ya baraka iweze kufunguliwa zaidi...

Nazijua shida mie, najua kuna wakati familia inalala na kikombe cha uji na chumvi... Lakini sote tumeumbwa na Mungu, huku wengine wakimwaga na kugawa pombe kwa matajiri wenzao...

Sema asante Mungu, unapumua sa hii... Wengine wanapumulia mashine... Naamini ipo siku Mungu ataona hitaji lako. La mno ni kufanya bidii katika kazi zako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…