Na ukiona mtu anabembeleza penzi huyo naye ni "mtu mdogo"
Ukiona thread inabembeleza watu wapost hiyo pia ni thread ndogo
Ukiona mtu anabembeleza urafiki huyo pia ni "rafiki mdogo"
Kwa status yako as presida wa kf ukianza kutongoza hadharani ni kujishusha hadhi, sisi ni raia hatuna cha kupoteza, acha tuoane, wewe tongoza wake zetu pm, wakikupa ni juu yao.