Makapuku Forum

Na ukiona mtu anabembeleza penzi huyo naye ni "mtu mdogo"
Ukiona thread inabembeleza watu wapost hiyo pia ni thread ndogo
Ukiona mtu anabembeleza urafiki huyo pia ni "rafiki mdogo"
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzee wa mawe, acha mie niendelee kubembeleza kwa jj, nampendaje[emoji23] [emoji23]
Mambo vipi lkn mkuu!
Jimena
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mzee wa mawe, acha mie niendelee kubembeleza kwa jj, nampendaje[emoji23] [emoji23]
Msmbo vipi lkn mkuu!
Jimena
Nipo

Sinaga hizo bembeleza
Hata hapa KF huwezi nikuta kabisa sababu ndo uhalisia wangu
Nikimzimia mtu kweli huwa namwibukia PM tu na tutamalizana huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
........
 
Sinaga hizo
Hata hapa KF huwezi nikuta kabisa sababu ndo uhalisia wangu
Nikimzimia mtu kweli huwa namwibukia PM tu na tutamalizana huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
........
Mimi nikimwendea mtu pm kweli huwa siwezi kumtongoza, mtongozano ni hapa kweupeee na yanaishia hapa hapa
 
Nipo

Sinaga hizo bembeleza
Hata hapa KF huwezi nikuta kabisa sababu ndo uhalisia wangu
Nikimzimia mtu kweli huwa namwibukia PM tu na tutamalizana huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
........
Kwa status yako as presida wa kf ukianza kutongoza hadharani ni kujishusha hadhi, sisi ni raia hatuna cha kupoteza, acha tuoane, wewe tongoza wake zetu pm, wakikupa ni juu yao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…